Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

SALA YA MAPENDO

Featured Image

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupendeza.

Nampenda na jirani yangu kama nafsi yangu,

kwa ajili yako.

Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Minja (Guest) on July 4, 2024

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

David Chacha (Guest) on June 28, 2024

Mungu ni mwema, wakati wote!

Janet Mbithe (Guest) on March 31, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Samuel Omondi (Guest) on March 6, 2024

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Nora Kidata (Guest) on December 31, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Kawawa (Guest) on November 16, 2023

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Victor Sokoine (Guest) on November 15, 2023

🙏❤️ Mungu akubariki

James Kimani (Guest) on August 28, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Peter Tibaijuka (Guest) on July 19, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Victor Sokoine (Guest) on February 21, 2023

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Francis Mrope (Guest) on December 25, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Mary Kendi (Guest) on December 17, 2022

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Benjamin Masanja (Guest) on November 23, 2022

🙏💖 Nakusihi Mungu

Lydia Mahiga (Guest) on November 4, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Alice Mwikali (Guest) on October 2, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Patrick Akech (Guest) on August 27, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Frank Macha (Guest) on July 22, 2022

Rehema zake hudumu milele

Paul Ndomba (Guest) on May 19, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Lucy Mahiga (Guest) on May 9, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Raphael Okoth (Guest) on January 31, 2022

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 11, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Francis Mrope (Guest) on December 31, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Simon Kiprono (Guest) on December 6, 2021

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Peter Otieno (Guest) on November 22, 2021

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Isaac Kiptoo (Guest) on August 6, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Margaret Mahiga (Guest) on July 14, 2021

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

Charles Wafula (Guest) on April 23, 2021

Mungu akubariki!

Margaret Mahiga (Guest) on April 9, 2021

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Grace Mushi (Guest) on March 21, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Bernard Oduor (Guest) on March 4, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Stephen Kangethe (Guest) on February 21, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Joseph Kitine (Guest) on December 4, 2020

🙏🌟 Mungu alete amani

Elizabeth Malima (Guest) on October 18, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Brian Karanja (Guest) on August 5, 2020

🙏🙏🙏

Josephine Nekesa (Guest) on July 15, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Francis Mtangi (Guest) on June 13, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Stephen Malecela (Guest) on April 12, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Kitine (Guest) on February 23, 2020

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Daniel Obura (Guest) on January 19, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

James Mduma (Guest) on January 13, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Michael Mboya (Guest) on November 24, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Mariam Hassan (Guest) on November 4, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Peter Mugendi (Guest) on September 10, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Nancy Kabura (Guest) on September 7, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Anthony Kariuki (Guest) on September 1, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Edwin Ndambuki (Guest) on April 18, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Francis Mrope (Guest) on February 21, 2019

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

James Kawawa (Guest) on February 20, 2019

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Alex Nakitare (Guest) on January 21, 2019

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Esther Cheruiyot (Guest) on December 18, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Agnes Njeri (Guest) on November 9, 2018

Amina

Esther Cheruiyot (Guest) on September 10, 2018

Endelea kuwa na imani!

Victor Malima (Guest) on August 3, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Betty Akinyi (Guest) on July 26, 2018

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Margaret Anyango (Guest) on May 7, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

David Ochieng (Guest) on April 2, 2018

🙏✨ Mungu atupe nguvu

Francis Mrope (Guest) on January 17, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Catherine Mkumbo (Guest) on January 14, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Betty Cheruiyot (Guest) on September 9, 2017

🙏🌟 Mbarikiwe sana

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact