Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Majitoleo ya Asubuhi

Featured Image

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Adhiambo (Guest) on June 25, 2024

Dumu katika Bwana.

Francis Njeru (Guest) on June 23, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Agnes Sumaye (Guest) on April 27, 2024

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 1, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Grace Minja (Guest) on October 10, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Alex Nyamweya (Guest) on August 6, 2023

🙏🌟 Mungu akujalie amani

Elizabeth Mrema (Guest) on July 26, 2023

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Robert Ndunguru (Guest) on February 25, 2023

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Agnes Sumaye (Guest) on February 11, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

James Malima (Guest) on February 4, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Jane Muthui (Guest) on January 13, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Fredrick Mutiso (Guest) on December 12, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 22, 2022

🙏✨ Mungu atupe nguvu

Margaret Anyango (Guest) on September 28, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alice Jebet (Guest) on July 27, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Alice Mwikali (Guest) on July 3, 2022

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Lucy Mahiga (Guest) on April 12, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Diana Mallya (Guest) on February 28, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Peter Mwambui (Guest) on February 19, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Michael Mboya (Guest) on January 28, 2022

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Alice Mrema (Guest) on December 19, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Charles Mchome (Guest) on December 5, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Josephine Nekesa (Guest) on October 25, 2021

Amina

Catherine Naliaka (Guest) on October 20, 2021

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Kamande (Guest) on September 24, 2021

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Daniel Obura (Guest) on August 23, 2021

🙏🌟 Mungu alete amani

Peter Otieno (Guest) on May 22, 2021

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Fredrick Mutiso (Guest) on May 19, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Wilson Ombati (Guest) on April 8, 2021

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Anna Sumari (Guest) on April 1, 2021

🙏💖 Nakusihi Mungu

Monica Nyalandu (Guest) on March 17, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Monica Lissu (Guest) on February 20, 2021

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Joseph Mallya (Guest) on October 31, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Agnes Njeri (Guest) on October 20, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Agnes Sumaye (Guest) on October 5, 2020

Mungu akubariki!

Ann Wambui (Guest) on October 4, 2020

🙏🌟 Neema za Mungu zisikose

Alice Mwikali (Guest) on September 22, 2020

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Edith Cherotich (Guest) on September 18, 2020

🙏❤️ Mungu ni mwaminifu

John Lissu (Guest) on September 12, 2020

🙏✨ Mungu atakuinua

Thomas Mtaki (Guest) on January 5, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Paul Ndomba (Guest) on December 27, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Brian Karanja (Guest) on December 23, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Aoko (Guest) on December 16, 2019

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Richard Mulwa (Guest) on December 9, 2019

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2019

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Agnes Njeri (Guest) on October 13, 2019

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Anna Sumari (Guest) on October 8, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Patrick Kidata (Guest) on October 8, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Jane Muthui (Guest) on October 2, 2019

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Malecela (Guest) on August 13, 2019

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Michael Mboya (Guest) on July 19, 2019

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

James Kawawa (Guest) on July 14, 2019

Rehema zake hudumu milele

Diana Mumbua (Guest) on July 1, 2019

🙏🙏🙏

Victor Malima (Guest) on April 14, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Philip Nyaga (Guest) on March 21, 2019

🙏❤️ Mungu akubariki

David Kawawa (Guest) on September 20, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lucy Mahiga (Guest) on May 30, 2018

Baraka kwako na familia yako.

Joyce Aoko (Guest) on May 9, 2018

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

George Mallya (Guest) on January 3, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Agnes Lowassa (Guest) on December 10, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Related Posts

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact