Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Litani ya Bikira Maria

Featured Image
  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utusikie
  • Kristo utusikilize
  • Mungu Baba wa Mbinguni,…… Utuhurumie
  • Mungu Mwana Mkombozi wa dunia ……… Utuhurumie
  • Mungu Roho Mtakatifu …….. Utuhurumie
  • Utatu Mtakatifu Mungu Mmoja …….. Utuhurumie
  • Maria Mtakatifu ………. utuombee
  • Mzazi Mtakatifu wa Mungu …….. utuombee
  • Bikira Mtakatifu Mkuu wa Mabikira …….. utuombee
  • Mama wa Kristo ……… utuombee
  • Mama wa Neema ya Mungu ………….. utuombee
  • Mama Mtakatifu sana ……… utuombee
  • Mama mwenye usafi wa Moyo ……….. utuombee
  • Mama mwenye ubikira ……….. utuombee
  • Mama usiye na doa ……….. utuombee
  • Mama mpendelevu ………. utuombee
  • Mama mstajabivu ………. utuombee
  • Mama wa Muumba ………. utuombee
  • Mama wa Mkombozi ………….. utuombee
  • Mama wa Kanisa……….. utuombee
  • Bikira mwenye utaratibu ………….. utuombee
  • Bikira mwenye heshima ………….. utuombee
  • Bikira mwenye sifa ………….. utuombee
  • Bikira mwenye uwezo ………….. utuombee
  • Bikra mweye huruma ………….. utuombee
  • Bikra mwaminifu………….. utuombee
  • Kioo cha haki ………….. utuombee
  • Kikao cha hekima ………….. utuombee
  • Sababu ya furaha yetu ………….. utuombee
  • Chombo cha neema ………….. utuombee
  • Chombo cha kuheshimiwa ………….. utuombee
  • Chombo bora cha ibada ………….. utuombee
  • Waridi lenye fumbo ………….. utuombee
  • Mnara wa Daudi ………….. utuombee
  • Mnara wa pembe ………….. utuombee
  • Nyumba ya dhahabu ………….. utuombee
  • Sanduku la Agano ………….. utuombee
  • Mlango wa Mbingu ………….. utuombee
  • Nyota ya asubuhi ………….. utuombee
  • Afya ya wagonjwa ………….. utuombee
  • Kimbilio la wakosefu ………….. utuombee
  • Mtuliza wenye huzuni ………….. utuombee
  • Msaada wa waKristo ………….. utuombee
  • Malkia wa Malaika ………….. utuombee
  • Malkia wa Mababu ………….. utuombee
  • Malkia wa Manabii ………….. utuombee
  • Malkia wa Mitume ………….. utuombee
  • Malkia wa Mashahidi ………….. utuombee
  • Malkia wa Waungama dini ………….. utuombee
  • Malkia wa Mabikira ………….. utuombee
  • Malkia wa Watakatifu wote ………….. utuombee
  • Malkia uliyepalizwa Mbinguni ………….. utuombee
  • Malkia wa Rozari takatifu ………….. utuombee
  • Malkia wa amani ………….. utuombee

  • Mwanakodoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,…………..Utusamehe ee Bwana.
  • Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,…………..Utusikilize ee Bwana
  • Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,…………..Utuhurumie.

  • Utuombee, Mzazi Mtakatifu wa Mungu,…………..Tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe

Ee Bwana Mungu, utujalie sisi watumishi wako afya ya roho na mwili siku zote; na kwa maombezi matukufu ya Maria Mtakaatifu Bikira daima, tuopolewe na mashaka ya saa, tupate na furaha za milele. Kwa Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Frank Macha (Guest) on July 13, 2024

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

David Ochieng (Guest) on May 14, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Agnes Njeri (Guest) on April 29, 2024

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Charles Wafula (Guest) on January 8, 2024

Sifa kwa Bwana!

Betty Akinyi (Guest) on November 3, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Mariam Hassan (Guest) on May 28, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Janet Sumaye (Guest) on April 25, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

James Kimani (Guest) on February 19, 2023

Rehema hushinda hukumu

Moses Kipkemboi (Guest) on February 9, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Nora Kidata (Guest) on January 23, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ruth Kibona (Guest) on October 7, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alice Mwikali (Guest) on September 18, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Martin Otieno (Guest) on September 14, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Mariam Kawawa (Guest) on August 8, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Nyerere (Guest) on July 13, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Susan Wangari (Guest) on June 20, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Patrick Akech (Guest) on June 3, 2022

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mboje (Guest) on May 13, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Catherine Mkumbo (Guest) on January 15, 2022

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

David Chacha (Guest) on December 3, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Akech (Guest) on November 20, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Esther Cheruiyot (Guest) on October 16, 2021

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Victor Kimario (Guest) on September 5, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Victor Mwalimu (Guest) on July 2, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

David Chacha (Guest) on May 24, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Lucy Kimotho (Guest) on April 8, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Mahiga (Guest) on March 11, 2021

Mungu akubariki!

Betty Akinyi (Guest) on February 9, 2021

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Betty Cheruiyot (Guest) on December 30, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Elizabeth Mrema (Guest) on October 7, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Amukowa (Guest) on October 2, 2020

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Benjamin Kibicho (Guest) on September 9, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Vincent Mwangangi (Guest) on September 3, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

George Ndungu (Guest) on July 21, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Chacha (Guest) on June 11, 2020

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Mrope (Guest) on April 27, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ruth Wanjiku (Guest) on March 31, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Nkya (Guest) on March 19, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Grace Njuguna (Guest) on January 11, 2020

Rehema zake hudumu milele

Patrick Mutua (Guest) on October 6, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Janet Mwikali (Guest) on September 19, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Kibona (Guest) on August 3, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Daniel Obura (Guest) on May 25, 2019

Endelea kuwa na imani!

Jane Muthui (Guest) on May 3, 2019

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Simon Kiprono (Guest) on March 27, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

John Mwangi (Guest) on January 3, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mary Kendi (Guest) on October 11, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Ruth Wanjiku (Guest) on October 4, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Anna Mchome (Guest) on September 24, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Lydia Mahiga (Guest) on July 15, 2018

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Andrew Mchome (Guest) on May 25, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Grace Wairimu (Guest) on May 17, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

David Sokoine (Guest) on March 22, 2018

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Anna Malela (Guest) on March 4, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Kiwanga (Guest) on February 17, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

James Malima (Guest) on January 26, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Victor Mwalimu (Guest) on November 24, 2017

Nakuombea πŸ™

George Tenga (Guest) on October 15, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Related Posts

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact