Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Kanuni ya imani

Featured Image

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Patrick Kidata (Guest) on April 16, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Chris Okello (Guest) on March 26, 2024

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

David Ochieng (Guest) on February 17, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Anna Kibwana (Guest) on November 30, 2023

Endelea kuwa na imani!

Samuel Were (Guest) on November 30, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edward Chepkoech (Guest) on November 14, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

David Musyoka (Guest) on October 29, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Benjamin Kibicho (Guest) on October 6, 2023

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Robert Okello (Guest) on April 20, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Paul Ndomba (Guest) on April 18, 2023

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

Carol Nyakio (Guest) on February 16, 2023

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

Stephen Kangethe (Guest) on February 8, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Mussa (Guest) on January 22, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Josephine Nduta (Guest) on October 20, 2022

Rehema hushinda hukumu

Grace Wairimu (Guest) on October 15, 2022

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Victor Kimario (Guest) on September 21, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Edith Cherotich (Guest) on August 18, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Francis Mrope (Guest) on May 9, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Kiwanga (Guest) on May 8, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Jane Muthui (Guest) on May 3, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Nyerere (Guest) on April 25, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

James Kimani (Guest) on April 14, 2022

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Anna Malela (Guest) on March 5, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Richard Mulwa (Guest) on January 19, 2022

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Wilson Ombati (Guest) on January 3, 2022

🙏🌟 Mungu akujalie amani

John Mwangi (Guest) on December 29, 2021

Amina

Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2021

Nakuombea 🙏

Lucy Mahiga (Guest) on November 10, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Elizabeth Mrope (Guest) on September 26, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Victor Kamau (Guest) on September 8, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Esther Nyambura (Guest) on May 8, 2021

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Betty Akinyi (Guest) on May 5, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nancy Akumu (Guest) on March 24, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anna Malela (Guest) on February 28, 2021

🙏❤️ Mungu ni mwaminifu

Samuel Were (Guest) on February 12, 2021

Dumu katika Bwana.

Robert Okello (Guest) on January 16, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on December 4, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Moses Kipkemboi (Guest) on October 21, 2020

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Anna Mchome (Guest) on February 22, 2020

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Ann Wambui (Guest) on February 16, 2020

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

Kevin Maina (Guest) on December 31, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Charles Wafula (Guest) on December 16, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Charles Mboje (Guest) on November 23, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Malima (Guest) on November 20, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Chacha (Guest) on November 4, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joy Wacera (Guest) on August 14, 2019

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Janet Mbithe (Guest) on June 18, 2019

🙏🌟 Mungu alete amani

Patrick Mutua (Guest) on May 12, 2019

🙏🌟 Neema za Mungu zisikose

Nancy Kawawa (Guest) on March 26, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Majaliwa (Guest) on March 10, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Janet Mwikali (Guest) on February 19, 2019

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Janet Sumaye (Guest) on December 18, 2018

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Carol Nyakio (Guest) on December 6, 2018

Rehema zake hudumu milele

Rose Kiwanga (Guest) on October 7, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

John Lissu (Guest) on September 20, 2018

🙏✨ Mungu atakuinua

Nancy Kabura (Guest) on August 10, 2018

🙏✨ Mungu atupe nguvu

George Wanjala (Guest) on May 7, 2018

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Andrew Odhiambo (Guest) on September 2, 2017

🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact