Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Featured Image

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./

Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./

Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elijah Mutua (Guest) on July 22, 2024

Rehema zake hudumu milele

Ann Awino (Guest) on May 8, 2024

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

David Chacha (Guest) on March 26, 2024

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

David Sokoine (Guest) on October 8, 2023

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Nancy Kabura (Guest) on August 29, 2023

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Mary Kidata (Guest) on August 26, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Rose Waithera (Guest) on April 17, 2023

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Alex Nyamweya (Guest) on March 9, 2023

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jane Muthoni (Guest) on January 20, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Ann Awino (Guest) on January 12, 2023

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Betty Cheruiyot (Guest) on January 2, 2023

🙏❤️ Mungu ni mwaminifu

Grace Majaliwa (Guest) on November 15, 2022

🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu

David Nyerere (Guest) on August 1, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Janet Wambura (Guest) on May 27, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Esther Cheruiyot (Guest) on May 26, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Mercy Atieno (Guest) on May 14, 2022

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Joy Wacera (Guest) on December 1, 2021

Nakuombea 🙏

Charles Mboje (Guest) on November 29, 2021

🙏🌟 Mbarikiwe sana

Kevin Maina (Guest) on November 18, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Linda Karimi (Guest) on August 30, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Alice Mrema (Guest) on July 17, 2021

Baraka kwako na familia yako.

Ann Awino (Guest) on May 7, 2021

🙏🙏🙏

Patrick Kidata (Guest) on May 4, 2021

Endelea kuwa na imani!

Janet Mbithe (Guest) on April 19, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Catherine Mkumbo (Guest) on January 26, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Alex Nyamweya (Guest) on January 12, 2021

🙏✨ Mungu atakuinua

Grace Majaliwa (Guest) on December 29, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Michael Mboya (Guest) on December 13, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Philip Nyaga (Guest) on November 22, 2020

🙏💖 Nakushukuru Mungu

John Malisa (Guest) on October 23, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Sharon Kibiru (Guest) on October 23, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Kevin Maina (Guest) on September 29, 2020

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

Victor Mwalimu (Guest) on March 14, 2020

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Grace Njuguna (Guest) on December 25, 2019

Amina

David Ochieng (Guest) on October 20, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

George Mallya (Guest) on September 12, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Lucy Kimotho (Guest) on September 1, 2019

Sifa kwa Bwana!

Mary Kidata (Guest) on August 29, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2019

🙏🙏🙏

Faith Kariuki (Guest) on July 17, 2019

Rehema hushinda hukumu

Anna Mahiga (Guest) on May 25, 2019

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Henry Sokoine (Guest) on April 13, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Samuel Omondi (Guest) on April 5, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mariam Kawawa (Guest) on April 1, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Malima (Guest) on March 20, 2019

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Edward Lowassa (Guest) on February 2, 2019

🙏❤️ Mungu akubariki

Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Brian Karanja (Guest) on January 6, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Josephine Nduta (Guest) on January 2, 2019

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Andrew Mahiga (Guest) on November 4, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2018

Mungu akubariki!

Joseph Njoroge (Guest) on June 16, 2018

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Victor Sokoine (Guest) on April 15, 2018

Dumu katika Bwana.

Agnes Sumaye (Guest) on April 7, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Joseph Kitine (Guest) on February 4, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Wanjala (Guest) on December 18, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

David Sokoine (Guest) on November 19, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nancy Akumu (Guest) on September 26, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Related Posts

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)