Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Featured Image

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utusikie – Kristo utusikilize
Mungu Baba wa Mbinguni, Utuhurumie
Mungu Mwana, Mkombozi wa dunia Utuhurumie
Mungu Roho Mtakatifu Utuhurumie
Utatu Mtakatifu Mungu MMoja Utuhurumie
Maria Mtakatifu Utuombee (iwe kiitikio)
Mama wa Mkombozi wetu,
Mama mwenye mateso,
Malkia wa mashahidi,
Mama wa wenye uchungu,
Mfariji wa wenye taabu,
Msaada wa wenye shida,
Mlinzi wa wenye upweke,
Nguvu ya dhaifu moyoni,
Makimbilio ya wakosefu,
Afya ya wagonjwa,
Matumaini ya wanaozimia,
Kwa ajili ya ufukara wako ulioona pangoni Bethlehemu, - Utusaidie ee Mama wa mateso (iwe kiitikio)
Kwa ajili ya mateso yako uliyoona katika uaguzi wa Simeoni,
Kwa ajili ya taabu zako ulizopata katika safari ya Misri,
Kwa uchungu wako, Mwanao alipopotea,
Kwa ajili ya huzuni yako Mwanao alipodhulumiwa,
Kwa ajili ya hofu yako Yesu alipokamatwa,
Kwa ajili ya uchungu wako ulipokutana na Yesu katika njia ya Msalaba,
Kwa ajili ya mateso ya Moyo wako aliposulibiwa,
Kwa ajili ya mateso yako makali Yesu alipokufa,
Kwa ajili ya kilio chako juu ya Mwanao mpenzi,
Kwa ajili ya uchungu wako penye kaburi la Mwanao,
Kwa ajili ya upweke wako baada ya maziko ya Mwanao,
Kwa ajili ya uvumilivu wako katika shida zote,
Katika uchungu wetu wote,
Katika ugonjwa na mateso,
Katika huzuni na shida,
Katika umaskini na upweke,
Katika mahangaiko na hatari,
Katika vishawisho vyote,
Katika saa ya kifo chetu,
Katika hukumu ya mwisho,

Mwanakondoo wa Mungu, unayeondoa dhambi za dunia, Utusamehe ee Bwana.
Mwanakondoo wa Mungu, unayeondoa dhambi za dunia, Utusikilize ee Bwana.
Mwanakondoo wa Mungu, unayeondoa dhambi za dunia, Utuhurumie.
Kristo utusikie – Kristo utusikilize
Bwana utuhurumie – Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie.
Baba Yetu ….
Utuombee, ee Mama wa Mateso
Tujaliwe kupewa ahadi za Kristo.
TUOMBE: Ee Bwana Yesu Kristo, utusaidie sasa na saa ya kifo chetu msaada wa Bikira Maria Mama yako, ambaye moyo wake mtakatifu ulichomwa na upanga wa mateso ulipoteswa na kufa msalabani. Unayeishi na kutawala milele na milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Margaret Anyango (Guest) on June 16, 2024

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Mbithe (Guest) on April 6, 2024

Amina

Mariam Hassan (Guest) on November 26, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Susan Wangari (Guest) on September 18, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Miriam Mchome (Guest) on September 3, 2023

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Robert Okello (Guest) on July 1, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Chris Okello (Guest) on April 5, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Edwin Ndambuki (Guest) on March 24, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Victor Malima (Guest) on January 18, 2023

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Maida (Guest) on January 7, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Henry Sokoine (Guest) on November 24, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joyce Nkya (Guest) on October 28, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Joseph Njoroge (Guest) on September 8, 2022

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Esther Nyambura (Guest) on September 1, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Catherine Naliaka (Guest) on August 31, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Mary Njeri (Guest) on June 9, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Betty Kimaro (Guest) on June 2, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lydia Wanyama (Guest) on May 14, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Agnes Njeri (Guest) on April 21, 2022

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Peter Mbise (Guest) on April 3, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Sarah Achieng (Guest) on February 21, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Henry Sokoine (Guest) on October 17, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Ruth Wanjiku (Guest) on July 16, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

James Malima (Guest) on June 1, 2021

Dumu katika Bwana.

Janet Mbithe (Guest) on March 10, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Rose Lowassa (Guest) on January 16, 2021

Mungu akubariki!

Joy Wacera (Guest) on January 4, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Rose Lowassa (Guest) on November 23, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Victor Sokoine (Guest) on October 5, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

James Malima (Guest) on September 8, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Frank Sokoine (Guest) on August 8, 2020

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Joseph Kitine (Guest) on June 9, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

James Mduma (Guest) on April 22, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Benjamin Masanja (Guest) on April 17, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mtei (Guest) on March 31, 2020

Nakuombea πŸ™

Christopher Oloo (Guest) on March 10, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Rose Lowassa (Guest) on February 21, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Kamande (Guest) on June 22, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Brian Karanja (Guest) on June 9, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Patrick Akech (Guest) on February 6, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Alice Mwikali (Guest) on December 23, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edith Cherotich (Guest) on November 12, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Josephine Nduta (Guest) on November 3, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Alex Nyamweya (Guest) on October 14, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Henry Mollel (Guest) on October 8, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Fredrick Mutiso (Guest) on August 12, 2018

Baraka kwako na familia yako.

Samson Tibaijuka (Guest) on June 4, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

John Mwangi (Guest) on April 22, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Edith Cherotich (Guest) on March 23, 2018

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

George Wanjala (Guest) on March 20, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Margaret Anyango (Guest) on December 24, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Catherine Naliaka (Guest) on November 20, 2017

Endelea kuwa na imani!

Anna Mchome (Guest) on November 10, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

John Mushi (Guest) on October 27, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Mtangi (Guest) on October 12, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Related Posts

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact