Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Sala fupi ya Asubuhi

Featured Image

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.

Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Diana Mallya (Guest) on July 9, 2024

Rehema zake hudumu milele

Edward Chepkoech (Guest) on June 22, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2024

ðŸ™ðŸ’–🙠Mungu akufunike na upendo

Lucy Wangui (Guest) on May 15, 2024

ðŸ™â¤ï¸ðŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2024

ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Victor Kamau (Guest) on April 22, 2024

Sifa kwa Bwana!

Grace Mushi (Guest) on April 19, 2024

Nakuombea ðŸ™

Paul Ndomba (Guest) on March 20, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Ruth Kibona (Guest) on December 30, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Kendi (Guest) on December 18, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Mwikali (Guest) on December 12, 2023

ðŸ™ðŸ’– Nakusihi Mungu

Mary Njeri (Guest) on November 6, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Bernard Oduor (Guest) on September 21, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Samson Tibaijuka (Guest) on September 19, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Kimario (Guest) on April 7, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Samson Mahiga (Guest) on January 21, 2023

ðŸ™âœ¨ðŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Irene Makena (Guest) on January 18, 2023

Endelea kuwa na imani!

Paul Kamau (Guest) on September 22, 2022

ðŸ™ðŸ’– Nakushukuru Mungu

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2022

ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Bwana akujalie baraka

Mary Kidata (Guest) on August 9, 2022

ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Tumwombe Mungu kila siku

Ruth Mtangi (Guest) on May 11, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Hellen Nduta (Guest) on April 6, 2022

ðŸ™ðŸ’–💫 Mungu ni mwema

Azima (Guest) on December 12, 2021

ðŸ™ðŸ™ðŸ™

Mary Njeri (Guest) on September 28, 2021

ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Nora Kidata (Guest) on September 7, 2021

Rehema hushinda hukumu

Fredrick Mutiso (Guest) on September 5, 2021

ðŸ™ðŸ’– Mungu wetu asifiwe

Janet Sumaye (Guest) on July 20, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Joseph Kitine (Guest) on June 1, 2021

ðŸ™âœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2021

ðŸ™ðŸŒŸ Mbarikiwe sana

Alice Mwikali (Guest) on April 26, 2021

ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Lucy Kimotho (Guest) on March 16, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Agnes Njeri (Guest) on March 11, 2021

ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mkombozi

Lydia Wanyama (Guest) on September 6, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Grace Majaliwa (Guest) on July 29, 2020

ðŸ™ðŸ’–✨ Neema yako ni ya kutosha

Nancy Akumu (Guest) on May 11, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Nancy Kabura (Guest) on April 15, 2020

ðŸ™â¤ï¸ Mungu akubariki

Joseph Kawawa (Guest) on March 4, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Njoroge (Guest) on March 3, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Patrick Kidata (Guest) on February 6, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Philip Nyaga (Guest) on December 21, 2019

ðŸ™âœ¨â¤ï¸ Neema za Mungu zikufunike

Linda Karimi (Guest) on October 19, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Njoroge (Guest) on October 5, 2019

ðŸ™ðŸŒŸâ¤ï¸ Nakuombea heri

John Lissu (Guest) on August 24, 2019

ðŸ™âœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Lydia Wanyama (Guest) on July 18, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Stephen Kangethe (Guest) on July 13, 2019

ðŸ™ðŸŒŸ Mungu akujalie amani

Miriam Mchome (Guest) on July 6, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Rose Kiwanga (Guest) on June 3, 2019

ðŸ™ðŸ™ðŸ™

Victor Kamau (Guest) on May 20, 2019

ðŸ™âœ¨ Mungu asikie maombi yetu

James Kawawa (Guest) on May 8, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Kawawa (Guest) on April 15, 2019

ðŸ™â¤ï¸âœ¨ Mungu akujalie furaha

John Lissu (Guest) on March 15, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Elizabeth Mrope (Guest) on February 27, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Agnes Lowassa (Guest) on February 24, 2019

ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mwaminifu

Edwin Ndambuki (Guest) on December 19, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Philip Nyaga (Guest) on September 17, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Lucy Kimotho (Guest) on September 7, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Edith Cherotich (Guest) on June 14, 2018

ðŸ™âœ¨ Mungu atakuinua

Alice Wanjiru (Guest) on March 16, 2018

Dumu katika Bwana.

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………â... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

📘 About 🔒 Login 📠Register 📞 Contact