Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kutujaza mapaji saba ya Roho Mtakatifu.
TUOMBE
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, kwa wema na huruma yako ya ajabu, umetaka watu wako waokoke, ukamweka Malaika Mkuu Mikaeli kuwa Mkuu wa Kanisa lako, Utukinge na adui zetu, wasitusmbue saa ya kufa kwetu, bali tuongozwe naye kwenye utukufu wako Mkuu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Amina.
Utuombee Ee Mtukufu Mtakatifu Mikaeli Mkuu wa Kanisa la Yesu Kristo, tujaliwe ahadi za Kristo. Amina.
Michael Mboya (Guest) on June 18, 2018
πβ€οΈ Mungu akubariki
James Malima (Guest) on June 13, 2018
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Thomas Mtaki (Guest) on April 10, 2018
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Henry Sokoine (Guest) on March 25, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Grace Njuguna (Guest) on March 9, 2018
Baraka kwako na familia yako.
Michael Onyango (Guest) on December 16, 2017
ππ Nakushukuru Mungu
Nora Lowassa (Guest) on November 12, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Margaret Anyango (Guest) on October 30, 2017
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Charles Mchome (Guest) on August 10, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
James Kawawa (Guest) on April 23, 2017
ππ Mungu alete amani
Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Linda Karimi (Guest) on September 18, 2016
ππ Mungu akujalie amani
Joyce Aoko (Guest) on September 8, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
Grace Majaliwa (Guest) on July 12, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016
ππ Mungu wetu asifiwe
Jane Malecela (Guest) on January 2, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Joyce Mussa (Guest) on December 15, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2015
Sifa kwa Bwana!
Mercy Atieno (Guest) on October 25, 2015
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Charles Wafula (Guest) on October 9, 2015
ππ Asante kwa neema zako Mungu
David Sokoine (Guest) on July 17, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
James Kawawa (Guest) on April 24, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako