Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu, ninakukabidhi nia na haja zangu zote. Ee Mt. Yosefu, unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu, na unipatie kutoka kwa Mwanao Mungu, baraka zote za kiroho, kwa njia ya Kristu Bwana wetu, ili nikishapata msaada wako wa mbinguni ningali bado hapa duniani, niweze nami kumsifu, kumwabudu na kumshukuru Mungu aliye Baba mwema kabisa kushinda wote. Ee Mt. Yosefu, sichoki kamwe kufikiri moyoni kwa upendo, jinsi Mtoto Yesu alivyokuwa amesinzia mikononi mwako. Akiwa amepumzika hivyo karibu na moyo wako, sithubutu kujongea, nisije nikamsumbua, bali nakuomba wewe umkumbatie na kumbusu kwa niaba yangu na kumwambia anipe busu lake nitakapovuta pumzi yangu ya mwisho.
Mtakatifu Yosefu Msimamizi wa wanaozimia roho; Utuombee.
Amina.

Sala hii ilipatikana katika mwaka wa hamsini wa Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristu. Mnamo mwaka 1505 Baba Mtakatifu alimtumia sala hii Mfalme Charles wakati alipokuwa anaenda vitani. Yeyote atakayeisoma sala hii, au kuisikia ikisomwa, au kuibeba, hatakufa kifo cha ghafla,hatazama majini, hatadhurika kwa sumu, wala hataanguka katika mikono ya adui zake, au kuunguzwa katika moto wowote ule, au kushindwa katika vita.

Sali sala hii kwa siku tisa mfululizo, kwa kuomba jambo lolote unalolihitaji. Haijawahi kusikika kuwa sala hii imeshindwa jambo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Sokoine (Guest) on June 7, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Mwalimu (Guest) on June 1, 2024

Mungu ni mwema, wakati wote!

jenifa (Guest) on May 23, 2024

asante sana

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on May 26, 2024

Ubarikiwe

Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2024

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

David Sokoine (Guest) on January 28, 2024

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Henry Mollel (Guest) on June 24, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2023

Amina

Agnes Njeri (Guest) on May 12, 2023

Mungu akubariki!

Stephen Mushi (Guest) on March 30, 2023

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Janet Mwikali (Guest) on February 17, 2023

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 11, 2023

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Elizabeth Mrope (Guest) on January 18, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Charles Mchome (Guest) on January 14, 2023

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

John Lissu (Guest) on January 14, 2023

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Robert Ndunguru (Guest) on November 2, 2022

Rehema hushinda hukumu

Raphael Okoth (Guest) on October 24, 2022

🙏❤️ Mungu akubariki

Francis Mtangi (Guest) on September 10, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

James Malima (Guest) on August 23, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Bernard Oduor (Guest) on May 4, 2022

🙏✨ Mungu atupe nguvu

Peter Otieno (Guest) on April 22, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Janet Wambura (Guest) on February 21, 2022

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Lucy Wangui (Guest) on January 19, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Frank Sokoine (Guest) on November 17, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Michael Mboya (Guest) on October 2, 2021

Dumu katika Bwana.

Francis Mtangi (Guest) on August 13, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jane Malecela (Guest) on August 4, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2021

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Elizabeth Mtei (Guest) on July 3, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on June 29, 2021

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Betty Kimaro (Guest) on June 14, 2021

Rehema zake hudumu milele

Anna Mahiga (Guest) on June 11, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Miriam Mchome (Guest) on March 16, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Joseph Kawawa (Guest) on March 1, 2021

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Joseph Njoroge (Guest) on December 19, 2020

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Linda Karimi (Guest) on December 12, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Lucy Wangui (Guest) on November 16, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Esther Cheruiyot (Guest) on November 10, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Mary Njeri (Guest) on October 6, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Irene Akoth (Guest) on August 12, 2020

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Henry Mollel (Guest) on July 22, 2020

🙏🌟 Mungu alete amani

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Rose Lowassa (Guest) on June 22, 2020

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

Peter Mugendi (Guest) on March 3, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Diana Mumbua (Guest) on February 21, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Wanjiru (Guest) on January 16, 2020

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Fredrick Mutiso (Guest) on December 10, 2019

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Francis Mrope (Guest) on October 24, 2019

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

James Kimani (Guest) on October 6, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anthony Kariuki (Guest) on July 22, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Charles Wafula (Guest) on July 8, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nora Kidata (Guest) on June 14, 2019

🙏💖 Nakusihi Mungu

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2019

🙏🌟 Mbarikiwe sana

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 18, 2019

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Betty Cheruiyot (Guest) on December 10, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Peter Mwambui (Guest) on October 4, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Mazrui (Guest) on March 6, 2018

🙏🙏🙏

Related Posts

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More