Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

Featured Image

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama zao, dhidi ya utoaji mimba au hatari nyingine dhidi ya uhai wa binadamu)

Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa Yesu, mlinzi na mtunzaji wa Familia Takatifu, na wa familia zote. Tuna imani kabisa katika uangalizi wako uliojaa upendo, juu ya uhai mpya, na uaminifu wako kwa familia.

Tunaweka jitihada zetu chini ya ulinzi wa sala zako. Utusaidie daima katika kutetea zawadi ya uhai wa binadamu, ili ukue hadi uzima wa milele ulioahidiwa na kujaliwa kwetu na Mwanao, Ndugu yetu, Yesu Kristu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Sokoine (Guest) on July 10, 2024

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Andrew Odhiambo (Guest) on April 14, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Samuel Were (Guest) on March 27, 2024

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Majaliwa (Guest) on February 3, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Kimario (Guest) on January 18, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Samson Tibaijuka (Guest) on January 9, 2024

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Betty Kimaro (Guest) on December 13, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

David Musyoka (Guest) on December 10, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Alice Jebet (Guest) on December 6, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mary Njeri (Guest) on September 4, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Margaret Anyango (Guest) on August 14, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Thomas Mtaki (Guest) on August 7, 2023

Endelea kuwa na imani!

John Lissu (Guest) on July 28, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

George Ndungu (Guest) on June 20, 2023

Sifa kwa Bwana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 6, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

David Nyerere (Guest) on December 18, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Anthony Kariuki (Guest) on December 18, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

David Chacha (Guest) on December 15, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Elizabeth Mrema (Guest) on November 19, 2022

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2022

Rehema hushinda hukumu

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anthony Kariuki (Guest) on April 14, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Hellen Nduta (Guest) on April 7, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Dorothy Nkya (Guest) on April 2, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lydia Mahiga (Guest) on February 10, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Grace Njuguna (Guest) on December 29, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Samuel Were (Guest) on December 27, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Ruth Wanjiku (Guest) on October 13, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Sumari (Guest) on March 27, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Anna Malela (Guest) on December 2, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Robert Ndunguru (Guest) on September 14, 2020

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Malecela (Guest) on August 17, 2020

Dumu katika Bwana.

Joseph Njoroge (Guest) on July 30, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Linda Karimi (Guest) on June 24, 2020

Mungu akubariki!

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 30, 2020

Amina

Sarah Karani (Guest) on February 19, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Alice Jebet (Guest) on January 27, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Kenneth Murithi (Guest) on December 31, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Peter Tibaijuka (Guest) on November 14, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Diana Mallya (Guest) on October 5, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Stephen Malecela (Guest) on May 21, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Joseph Mallya (Guest) on February 22, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ruth Wanjiku (Guest) on January 10, 2019

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Samson Mahiga (Guest) on November 27, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Esther Nyambura (Guest) on November 25, 2018

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Richard Mulwa (Guest) on November 15, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Stephen Kangethe (Guest) on August 28, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Stephen Amollo (Guest) on August 20, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Andrew Mchome (Guest) on June 12, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Joseph Kawawa (Guest) on May 22, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Anna Malela (Guest) on May 20, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Bernard Oduor (Guest) on April 29, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Hassan (Guest) on March 22, 2018

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Muthoni (Guest) on March 19, 2018

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Wilson Ombati (Guest) on February 22, 2018

Rehema zake hudumu milele

Peter Tibaijuka (Guest) on January 27, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Mary Kidata (Guest) on December 9, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Victor Kamau (Guest) on November 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Stephen Kangethe (Guest) on October 17, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Related Posts

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact