Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Sala ya Malaika wa Bwana

Featured Image

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….

Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..

Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe:

Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mutheu (Guest) on July 11, 2024

🙏🌟 Mungu akujalie amani

Joyce Aoko (Guest) on June 3, 2024

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Sarah Mbise (Guest) on May 29, 2024

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Alice Mwikali (Guest) on April 24, 2024

🙏✨ Mungu atakuinua

Andrew Mahiga (Guest) on February 27, 2024

🙏✨ Mungu atupe nguvu

Peter Mbise (Guest) on February 22, 2024

🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu

Elizabeth Mrope (Guest) on January 26, 2024

Amina

James Malima (Guest) on January 23, 2024

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mercy Atieno (Guest) on November 30, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Richard Mulwa (Guest) on November 19, 2023

🙏🌟 Neema za Mungu zisikose

Grace Wairimu (Guest) on October 2, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Kidata (Guest) on August 24, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Elizabeth Mrema (Guest) on August 14, 2023

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Peter Otieno (Guest) on July 15, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Andrew Odhiambo (Guest) on February 26, 2023

🙏🌟 Mungu alete amani

Monica Nyalandu (Guest) on January 31, 2023

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on December 22, 2022

🙏💖 Nakusihi Mungu

Andrew Mahiga (Guest) on December 6, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anna Malela (Guest) on December 1, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

Rehema zake hudumu milele

Grace Wairimu (Guest) on October 22, 2022

Nakuombea 🙏

Michael Mboya (Guest) on September 18, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Stephen Amollo (Guest) on September 18, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Margaret Anyango (Guest) on September 17, 2022

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 7, 2022

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Violet Mumo (Guest) on June 13, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jane Malecela (Guest) on April 5, 2022

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Janet Mbithe (Guest) on July 16, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Alex Nakitare (Guest) on June 2, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lucy Mahiga (Guest) on May 17, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Elizabeth Malima (Guest) on January 26, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Janet Mbithe (Guest) on December 10, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Charles Mrope (Guest) on September 16, 2020

Neema na amani iwe nawe.

John Lissu (Guest) on September 12, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Betty Akinyi (Guest) on August 13, 2020

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

Anthony Kariuki (Guest) on July 13, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lydia Mutheu (Guest) on April 26, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mary Sokoine (Guest) on April 22, 2020

Dumu katika Bwana.

Simon Kiprono (Guest) on March 1, 2020

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Joseph Kawawa (Guest) on February 25, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Frank Macha (Guest) on December 17, 2019

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Sarah Achieng (Guest) on December 6, 2019

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Benjamin Masanja (Guest) on December 3, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Lydia Wanyama (Guest) on November 28, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Kawawa (Guest) on July 24, 2019

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Miriam Mchome (Guest) on May 19, 2019

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2019

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Victor Malima (Guest) on March 30, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Ruth Kibona (Guest) on October 15, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Mary Kidata (Guest) on September 6, 2018

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Malecela (Guest) on August 6, 2018

🙏❤️ Mungu ni mwaminifu

Christopher Oloo (Guest) on May 3, 2018

Rehema hushinda hukumu

Patrick Akech (Guest) on March 23, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Chacha (Guest) on March 21, 2018

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

Francis Mtangi (Guest) on March 7, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Tibaijuka (Guest) on November 24, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Bernard Oduor (Guest) on November 20, 2017

Sifa kwa Bwana!

Lucy Kimotho (Guest) on July 13, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Related Posts

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact