Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

Featured Image

Mama Bikira Maria alitoa ahadi 15 kwa yule au wale watakaosali Rozari takatifu kila siku. Ahadi hizi aliwapa Mtakatifu Dominic na mwenye heri Alan de la Roche.

1. Yeyote yule atakayesali kwa imani rozari hii takatifu atapokea neema kuu zenye nguvu
2. Naahidi ulinzi wa kipekee na neema za kipekee kwa yule atakayesali rozari hii
3. Rozari itakuwa silaha kubwa dhidi ya nguvu za kuzimu, itaharibu maovu, itapunguza dhambi na kushinda kutofautiana
4. Itafanya fadhila kukua, kazi nzuri kuongezeka, itapatia roho huruma tele toka kwa MUNGU, itaondoa hamu ya wanadamu kupenda mambo ya dunia na majivuno yake na kufanya wapende zaidi mambo ya mbinguni. Ooh, ni kwa namna gani roho hizo zitajifurahisha na kubarikiwa kwa namna hii.
5. Roho zitakazojikabidhi kwangu kwa njia ya kusali rozari, kamwe hazitapotea.
6. Yeyote atakayesali rozari kwa uaminifu huku akiyatafakari matendo makuu ya rozari, kamwe hatashindwa na ubaya. MUNGU hatamwadhibu katika hukumu yake, hatapotea katika kifo asichopangiwa na atabaki katika neema za MUNGU na kustahili kupata uzima wa milele.
7. Yeyote atakayekuwa mwaminifu katika kusali rozari, kamwe hatakufa bila ya kupokea Sakramenti takatifu za Kanisa.
8. Wote watakaokuwa waaminifu katika kusali rozari watadumu katika mwanga wa MUNGU katika maisha yao na saa yao ya kufa na kupata neema zake tele; katika saa yao ya kufa watashiriki fadhila za watakatifu waliopo peponi
9. Nitawatoa toharani wale wote waliokuwa waaminifu katika kusali rozari
10. Watoto wangu waaminifu katika kusali rozari watapata fadhila kuu ya utukufu Mbinguni.
11. Utapata yale yote unayoniomba kwa kusali rozari
12. Wote wale wanaoeneza rozari hii takatifu nitawasaidia katika mahitaji yao
13. Nimepata toka kwa mwanangu Mtukufu kuwa mawakili wote wa rozari takatifu watapata
waombezi toka baraza lote kuu la Mbinguni wakati wa maisha yao na wakati wa saa yao ya kufa.
14. Wote wanaosali rozari hii takatifu ni wanangu, na kaka na dada wa mwanangu wa pekee YESU KRISTO
15. Ibada kwa rozari takatifu ni ishara kuu ya kuelekea ukombozi
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Tibaijuka (Guest) on July 6, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Philip Nyaga (Guest) on April 25, 2024

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Brian Karanja (Guest) on November 19, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 18, 2023

Mungu akubariki!

Joseph Kitine (Guest) on September 9, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Ann Awino (Guest) on April 16, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Mahiga (Guest) on March 23, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Charles Mboje (Guest) on February 24, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2022

Endelea kuwa na imani!

Michael Onyango (Guest) on September 7, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Paul Kamau (Guest) on April 21, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Benjamin Kibicho (Guest) on August 23, 2021

Rehema zake hudumu milele

Edward Chepkoech (Guest) on May 24, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Daniel Obura (Guest) on February 1, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Francis Njeru (Guest) on November 16, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Miriam Mchome (Guest) on September 17, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrope (Guest) on September 4, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Charles Wafula (Guest) on July 25, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Samson Mahiga (Guest) on April 5, 2020

Nakuombea 🙏

Michael Mboya (Guest) on January 25, 2020

Rehema hushinda hukumu

Janet Mwikali (Guest) on October 13, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Nancy Kawawa (Guest) on August 27, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Rose Mwinuka (Guest) on April 13, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Elizabeth Mrope (Guest) on February 9, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Peter Otieno (Guest) on January 19, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anthony Kariuki (Guest) on December 29, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Richard Mulwa (Guest) on November 30, 2018

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Paul Kamau (Guest) on October 24, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

James Mduma (Guest) on October 22, 2018

Dumu katika Bwana.

Patrick Mutua (Guest) on September 23, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Mwangi (Guest) on July 8, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Paul Ndomba (Guest) on May 10, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Kevin Maina (Guest) on December 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Grace Majaliwa (Guest) on March 16, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Musyoka (Guest) on January 16, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Joseph Kiwanga (Guest) on October 29, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Minja (Guest) on August 25, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Mary Mrope (Guest) on May 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Betty Akinyi (Guest) on May 22, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Fredrick Mutiso (Guest) on February 20, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Rose Kiwanga (Guest) on January 15, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Patrick Kidata (Guest) on July 5, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Janet Mwikali (Guest) on July 4, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Paul Ndomba (Guest) on June 27, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Rose Kiwanga (Guest) on June 2, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Catherine Mkumbo (Guest) on April 21, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Read More

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Read More
Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Read More
Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Muumbaji wa penseli alipomaliza kuiumba penseli yake aliiambia mambo muhimu ya kuzingatia ili iwe... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai? Jibu fupi ni ndiyo, Kanisa l... Read More

Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria

Read More
Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Read More
Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Read More
Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Uzinzi na uasherati wakati huu umekuwa ndio sumaku kuu ya kuwanasa watu ili waende jehanamu.

<... Read More
MAANA YA SALA KWA MKRISTO

MAANA YA SALA KWA MKRISTO

Read More
Maana ya Kumuamini Mungu

Maana ya Kumuamini Mungu

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Kanisa Katoliki limekuwa likitangaza utunzaji wa mazingira kama jukumu la kikristo kwa miaka ming... Read More