Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

MAANA YA SALA KWA MKRISTO

Featured Image
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Watu wote wanapaswa kusali, wema na wabaya. Inatupasa kusali kila siku bila kukata tama kwa ibada, kwa matumaini na kwa saburi. Kama mfano Yesu Alitufundisha sala ya Baba yetu.
Yatupasa kuwaombea wengine, watu wote wenye shida wakosefu na hata maadui zetu, vilevile tumtolee Mungu shukrani kila wakati na hasa kwa kuadhimisha Ekaristi Takatifu.
Masifu ni sala au wimbo unaomsifu na kumtambua Mungu kuwa Mungu.
Sababu za kusali
1. Kumuabudu Mungu
2. Kumshukuru Mungu
3. Kuomba Neema na Baraka kwa ajili yetu na wenzetu
4. Kuomba msamaha
Namna za sala
1. Sala ya sauti : Sala asaliyo mtu au kikundi kwa kutumia maneno
2. Sala ya fikra : Sala asaliyo mtu akiwa peke yake au na wengine kimya kimya akimuwaza Mungu.
3. Sala ya Taamuli: Kumtazama tuu Mungu kwa upendo Mkubwa Moyoni.
Nyakati zote zinafaa kwa sala hasa
1. Asubuhi na jioni
2. Kabla na baada ya kula
3. Kila dominika
4. Sikukuu za amri
5. Kabla na baada ya kazi
6. Katika kishawishi
Vyanzo vya sala za Kikristo
1. Neno la Mungu
2. Liturujia ya Kanisa
3. Fadhila za Kimungu
4. Matukio ya kila siku
Aidha Roho Mtakatifu ndiye mlezi wa ndani wa sala ya Kikristo akitufundisha kusali na kusali ndani mwetu.
Sala Muhimu kwa Mkristo
Sala kubwa ya kanisa ni Misa Takatifu na sala Bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu.
Sala nyingine Muhimu kwa Mkristu ni:
1. Baraka ya Sakramenti kuu
2. Andamo la Ekaristi
3. Litania Takatifu
4. Njia ya Msalaba
5. Rozari takatifu
6. Novena
Mtu anaweza kusali popote lakini kanisani ndio mahali rasmi pa sala, Aidha familia ni shule ya kwanza ya sala ambapo mtu hujifunza na kujizoesha kusali anapokua katika familia.
Changamoto na majaribu wakati wa kusali
1. Mtawanyiko wa mawazo
2. Ukavu wa Moyo
3. Uvivu na uregevu
Faida ya Sala
1. Zinaleta neema nyingi
2. Zinatuimarisha ili tushinde vishawishi na dhambi
3. Zinatuunganisha na Mungu
4. Zinatudumisha katika kutenda mema
Neno Amina katika sala linamaana β€˜Na iwe hivyo’. Na neno Aeluya maana yake ni Msifuni Mungu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samuel Omondi (Guest) on May 13, 2024

Imani inaweza kusogeza milima

Betty Kimaro (Guest) on November 11, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Christopher Oloo (Guest) on November 8, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Moses Mwita (Guest) on August 27, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Peter Mbise (Guest) on August 2, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Mwikali (Guest) on July 11, 2023

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Njuguna (Guest) on March 12, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Paul Ndomba (Guest) on February 5, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Tabitha Okumu (Guest) on May 24, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Hellen Nduta (Guest) on May 19, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Anna Mahiga (Guest) on April 7, 2022

Dumu katika Bwana.

Josephine Nduta (Guest) on September 29, 2021

Baraka kwako na familia yako.

Frank Macha (Guest) on August 2, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Diana Mumbua (Guest) on July 30, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Malecela (Guest) on July 15, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Mduma (Guest) on June 8, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Esther Nyambura (Guest) on May 28, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Isaac Kiptoo (Guest) on April 11, 2021

Endelea kuwa na imani!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 27, 2020

Sifa kwa Bwana!

Chris Okello (Guest) on December 10, 2020

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Thomas Mtaki (Guest) on September 30, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Monica Nyalandu (Guest) on September 10, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Charles Mboje (Guest) on August 12, 2020

Rehema hushinda hukumu

Nancy Komba (Guest) on July 29, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joyce Nkya (Guest) on December 19, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Jane Muthui (Guest) on August 1, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Catherine Naliaka (Guest) on January 29, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Kiwanga (Guest) on January 27, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Paul Ndomba (Guest) on November 8, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Nancy Kabura (Guest) on September 18, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Margaret Mahiga (Guest) on July 19, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Chris Okello (Guest) on June 23, 2018

Rehema zake hudumu milele

Janet Sumari (Guest) on June 1, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Mary Mrope (Guest) on May 20, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Andrew Odhiambo (Guest) on February 2, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Jane Muthui (Guest) on November 28, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Victor Kamau (Guest) on November 11, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Andrew Odhiambo (Guest) on September 21, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Alice Wanjiru (Guest) on August 30, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Martin Otieno (Guest) on February 18, 2017

Nakuombea πŸ™

Chris Okello (Guest) on January 22, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Njoroge (Guest) on November 18, 2016

Mungu akubariki!

Tabitha Okumu (Guest) on October 30, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Nancy Komba (Guest) on August 21, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Diana Mumbua (Guest) on June 16, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Raphael Okoth (Guest) on December 2, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Francis Njeru (Guest) on September 11, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Lucy Mushi (Guest) on August 24, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Henry Sokoine (Guest) on May 24, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu? Jibu ... Read More

Kukimbilia Huruma ya Mungu: Nguvu katika Majaribu

Kukimbilia Huruma ya Mungu: Nguvu katika Majaribu

Kukimbilia Huruma ya Mungu: Nguvu katika Majaribu

Mara nyingi tunapitia majaribu katika ma... Read More

Uelewa wa namba katika Biblia

Uelewa wa namba katika Biblia

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ... Read More

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Read More
Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Kila kitu ni mali ya Mungu.

Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.

Hata mimi mwenyewe ni... Read More

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu  Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria? Ndio! Katika Kanisa Katoliki, Bikira Maria ni muhimu s... Read More
Ufalme wa simu wa sasa

Ufalme wa simu wa sasa

➑ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandan... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Sakramenti ya Kipaimara ni sakramenti ya tatu katika Kanisa Katoliki baada ya Sakramenti ya Ubati... Read More

Je Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?

Je Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?

Read More
Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Siku niliposoma hili andiko kwa mara ya kwanza nakumbuka, kwanza nilipata mshtuko flani baada ya ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Muumbaji wa penseli alipomaliza kuiumba penseli yake aliiambia mambo muhimu ya kuzingatia ili iwe... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact