Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Featured Image
Mara nyingi tumekua tukiomba lakini hatupati, sababu zinaweza zikawa hizi ;

1. Mawazo na matarajio yetu

Mara nyingi tunajifunga kwenye maombi yetu pale tunapoomba na kisha kuanza kuwaza "hivi Mungu atanipa kikubwa au kidogo au atanisaidia sana au kidogo" Au tunaomba halafu tunakua na matarajio tofauti na kile tunachoomba. Aidha tunatarajia kupata kidogo au kikubwa.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu kizuizi kwenye maombi yako. Yaani kumuongoza Mungu afanye kwa kiasi kile unachofikiri.

2. Kulenga kutizamwa na watu.

Hii ni kuomba kwa majivuno yaani kuomba ili ukishapata watu waone kuwa umepata.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan'ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu ukuta kwenye maisha yako.

Namna njema ya kuomba ni hii

1. Kutokuomba mambo makuu sana ambayo huna haja nayo na hayana maana katika maisha yako.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on July 20, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

Nakuombea 🙏

John Malisa (Guest) on December 19, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Alice Mrema (Guest) on September 11, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Rose Kiwanga (Guest) on September 7, 2023

Rehema hushinda hukumu

Elijah Mutua (Guest) on May 8, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 27, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Agnes Sumaye (Guest) on March 15, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on January 31, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Michael Mboya (Guest) on November 4, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Kenneth Murithi (Guest) on August 9, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Elizabeth Malima (Guest) on March 16, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Chris Okello (Guest) on January 31, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Alice Jebet (Guest) on January 20, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Kimani (Guest) on September 14, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Agnes Njeri (Guest) on March 25, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Sarah Karani (Guest) on March 3, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

George Mallya (Guest) on December 26, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Nancy Akumu (Guest) on December 9, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Muthui (Guest) on July 29, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Irene Makena (Guest) on June 27, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Mariam Kawawa (Guest) on December 14, 2019

Rehema zake hudumu milele

Francis Njeru (Guest) on November 9, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Charles Mrope (Guest) on November 4, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Simon Kiprono (Guest) on November 25, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Mwinuka (Guest) on November 4, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2018

Dumu katika Bwana.

Joseph Kiwanga (Guest) on October 13, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Mary Mrope (Guest) on August 8, 2018

Sifa kwa Bwana!

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

Mungu akubariki!

Henry Sokoine (Guest) on February 27, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Mwinuka (Guest) on January 16, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Hassan (Guest) on December 1, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Michael Onyango (Guest) on August 24, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Elizabeth Mrema (Guest) on August 7, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edwin Ndambuki (Guest) on July 27, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jane Muthui (Guest) on June 2, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Robert Okello (Guest) on May 21, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Mwinuka (Guest) on April 15, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Faith Kariuki (Guest) on December 5, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Josephine Nduta (Guest) on November 3, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Anna Malela (Guest) on October 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Raphael Okoth (Guest) on August 29, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on May 7, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Mrema (Guest) on October 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Kanisa Katoliki linatambua kuwa Mungu aliumba ulimwengu na binadamu kwa mapenzi yake, lakini pia ... Read More

Maana ya jina Bikira Maria

Maana ya jina Bikira Maria

Read More
Mambo manne ya mwisho katika maisha

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu umoja wa Kanisa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu umoja wa Kanisa?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa ya Kikristo duniani. Imani yake kuhusu umoja wa Kani... Read More

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu  Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria? Ndio! Katika Kanisa Katoliki, Bikira Maria ni muhimu s... Read More
Usiyumbishwe na kila upepo wa mafundisho

Usiyumbishwe na kila upepo wa mafundisho

Read More
Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu dini na dini nyingine?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu dini na dini nyingine?

Kanisa Katoliki ni mojawapo ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo ulimwenguni. Imani yake ina msi... Read More

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Sala ni njia ya kuwasi... Read More

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Katika maisha yetu, tunaenda kupitia chan... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni jambo la kawaida kwa Kanisa Katoliki kuombea wafu. Kuombea wafu ni sehemu ya imani yetu kama W... Read More

Ufalme wa simu wa sasa

Ufalme wa simu wa sasa

➡ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandan... Read More