Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

Featured Image

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama zao, dhidi ya utoaji mimba au hatari nyingine dhidi ya uhai wa binadamu)

Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa Yesu, mlinzi na mtunzaji wa Familia Takatifu, na wa familia zote. Tuna imani kabisa katika uangalizi wako uliojaa upendo, juu ya uhai mpya, na uaminifu wako kwa familia.

Tunaweka jitihada zetu chini ya ulinzi wa sala zako. Utusaidie daima katika kutetea zawadi ya uhai wa binadamu, ili ukue hadi uzima wa milele ulioahidiwa na kujaliwa kwetu na Mwanao, Ndugu yetu, Yesu Kristu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2017

ðŸ™ðŸ™ðŸ™

Joyce Aoko (Guest) on October 13, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Wilson Ombati (Guest) on September 26, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Mary Njeri (Guest) on September 2, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Betty Akinyi (Guest) on June 23, 2017

ðŸ™ðŸ’– Nakusihi Mungu

Henry Mollel (Guest) on April 20, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Joyce Nkya (Guest) on April 12, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Kawawa (Guest) on January 24, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Chris Okello (Guest) on December 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Mwangi (Guest) on November 25, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alice Jebet (Guest) on November 19, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Mwikali (Guest) on November 7, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ann Awino (Guest) on August 9, 2016

ðŸ™ðŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Faith Kariuki (Guest) on July 10, 2016

ðŸ™ðŸŒŸ Mungu alete amani

Charles Mrope (Guest) on March 21, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Chris Okello (Guest) on October 18, 2015

Nakuombea ðŸ™

Charles Wafula (Guest) on September 23, 2015

ðŸ™ðŸ’–✨ Neema yako ni ya kutosha

Simon Kiprono (Guest) on September 12, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on September 7, 2015

ðŸ™â¤ï¸ Mungu ni mlinzi wetu

Rose Lowassa (Guest) on August 13, 2015

ðŸ™ðŸŒŸ Mbarikiwe sana

George Ndungu (Guest) on June 10, 2015

ðŸ™â¤ï¸ðŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumari (Guest) on May 31, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lydia Mahiga (Guest) on May 30, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Related Posts

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………â... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)