Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.


Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.

Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Otieno cosmas (Guest) on September 13, 2024

Amani kwa familia

Sharon Kibiru (Guest) on July 16, 2024

🙏🌟 Mungu alete amani

Anna Mahiga (Guest) on May 20, 2024

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Lucy Kimotho (Guest) on May 12, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joseph Mallya (Guest) on February 20, 2024

🙏🙏🙏

Paul Kamau (Guest) on February 14, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

James Kawawa (Guest) on February 10, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Rose Waithera (Guest) on February 6, 2024

🙏❤️ Mungu ni mwaminifu

Henry Mollel (Guest) on January 20, 2024

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Wilson Ombati (Guest) on December 8, 2023

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Mbithe (Guest) on November 23, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Paul Kamau (Guest) on November 13, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Josephine Nekesa (Guest) on October 1, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Charles Mchome (Guest) on June 30, 2023

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

Joseph Kiwanga (Guest) on June 25, 2023

🙏🌟 Neema za Mungu zisikose

Sarah Achieng (Guest) on June 21, 2023

Rehema hushinda hukumu

Joseph Kawawa (Guest) on May 19, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Ann Awino (Guest) on May 13, 2023

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lydia Mahiga (Guest) on April 22, 2023

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Robert Okello (Guest) on April 20, 2023

🙏🌟 Mbarikiwe sana

Kenneth Murithi (Guest) on March 25, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Frank Sokoine (Guest) on March 2, 2023

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Grace Minja (Guest) on January 18, 2023

🙏🙏🙏

Elizabeth Mrope (Guest) on November 15, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

George Mallya (Guest) on September 23, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Mtei (Guest) on July 31, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Betty Akinyi (Guest) on June 3, 2022

🙏✨ Mungu atakuinua

Agnes Sumaye (Guest) on May 26, 2022

Amina

James Malima (Guest) on April 15, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Christopher Oloo (Guest) on February 24, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 30, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Samuel Were (Guest) on December 21, 2021

🙏❤️ Mungu akubariki

Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nancy Komba (Guest) on October 9, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Dorothy Nkya (Guest) on May 20, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Michael Mboya (Guest) on March 19, 2021

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2021

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Joseph Kawawa (Guest) on November 6, 2020

Mungu akubariki!

Nancy Akumu (Guest) on September 4, 2020

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Jane Malecela (Guest) on January 10, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mary Njeri (Guest) on November 25, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Joseph Kiwanga (Guest) on November 1, 2019

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Joyce Nkya (Guest) on June 10, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Benjamin Masanja (Guest) on April 15, 2019

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

James Kimani (Guest) on October 21, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Kevin Maina (Guest) on September 9, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Tibaijuka (Guest) on August 16, 2018

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Joseph Kiwanga (Guest) on January 11, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Lucy Wangui (Guest) on January 8, 2018

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2017

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Kevin Maina (Guest) on November 21, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Fredrick Mutiso (Guest) on November 5, 2017

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Janet Mwikali (Guest) on October 10, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Monica Adhiambo (Guest) on October 6, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Agnes Njeri (Guest) on August 11, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Samson Tibaijuka (Guest) on July 23, 2017

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Edward Chepkoech (Guest) on July 21, 2017

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Esther Nyambura (Guest) on June 18, 2017

🙏🌟 Mungu akujalie amani

Anna Malela (Guest) on May 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Related Posts

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Read More
SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact