Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Sala ya Malaika wa Bwana

Featured Image

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….

Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..

Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe:

Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mrope (Guest) on June 22, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Catherine Naliaka (Guest) on June 19, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2017

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

John Mushi (Guest) on April 10, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2017

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Zakaria (Guest) on March 10, 2017

🙏🙏🙏

Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2016

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2016

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Irene Makena (Guest) on October 2, 2016

🙏🌟 Mbarikiwe sana

Anna Malela (Guest) on September 26, 2016

Mungu akubariki!

Anna Mahiga (Guest) on August 17, 2016

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Christopher Oloo (Guest) on May 7, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Sokoine (Guest) on May 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Janet Sumari (Guest) on January 30, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

James Malima (Guest) on December 7, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2015

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Alice Mwikali (Guest) on August 11, 2015

🙏❤️ Mungu akubariki

Vincent Mwangangi (Guest) on July 9, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on July 6, 2015

🙏🙏🙏

John Mushi (Guest) on June 12, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Related Posts

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact