Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe tegemeo langu na tumaini langu dhabiti. Ndiwe mwenye dawa ya maovu yangu yote, malipizi ya makosa yangu yote. Waweza kunipatia haja zangu na neema ninazoziomba mimi na wengine. Wewe uko ili kutusaidia sote, ndiwe mwanga mkuu usiozimika, ndiwe chanzo cha nguvu, uvumilivu, amani na faraja. Nina hakika kuwa maombi yangu hayatakuchosha, nawe hutaacha kunisaidia, kunilinda, kunipenda, kwani, ee Moyo Mtakatifu , upendo wako hauna mwisho. Ee Moyo Mtakatifu, unihurumie, kwa ajili ya maombi yangu, kadiri ya huruma yako. Nawe katika sisi, na kwa ajili yetu, ufanye lolote unalolihitaji, kwani tunajitoa kwako kwa imani na uhakika thabiti kwamba kamwe hautatuacha, kwa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Sokoine (Guest) on October 22, 2017

Nakuombea πŸ™

Sharon Kibiru (Guest) on September 10, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Stephen Malecela (Guest) on July 15, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jane Muthui (Guest) on June 20, 2017

Rehema zake hudumu milele

Edwin Ndambuki (Guest) on June 19, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Raphael Okoth (Guest) on January 10, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Margaret Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Agnes Sumaye (Guest) on September 12, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2016

Amina

Elizabeth Mtei (Guest) on June 28, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Mtangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Mduma (Guest) on October 1, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Josephine Nduta (Guest) on August 18, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Janet Sumari (Guest) on August 17, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Wafula (Guest) on July 13, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Patrick Kidata (Guest) on June 28, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Catherine Mkumbo (Guest) on June 27, 2015

Dumu katika Bwana.

George Mallya (Guest) on June 23, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Rose Lowassa (Guest) on June 17, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 31, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Related Posts

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact