Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

MATATIZO YANAYORUDISHA UIMBAJI WA KWAYA KATOLIKI NYUMA

Featured Image
1.Kuwaimbia binadamu.Yaani tupo kwa ajili ya kuimba ili tusifiwe na watu.
2.Kuimba bila tafakari.Mara nyingi tunaimba tu bila kuzingatia ujumbe Wa ule wimbo
3.Kuimba bila kusali!Yasemekana Kuimba ni kusali Mara mbili.Waimbaji wengi hukariri wimbo na nyimbo nyingi zimetungwa kwa njia ya sala lakini wanakwaya wengi huimba tu wala hali ya sala haimo ndani yao!
4.Walimu wenye hasira na ubinafsi.Mkufunzi Wa kwaya ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya uimbaji.Iwapo choirmaster ni mwenye vurugu, mchochezi na mpenda fitina, bila shaka itakuwa vigumu kwa kwaya kupiga hatua kiuimbaji!
5.Sheria Kali zisizoenda na maadili ya kanisa.Kila jamii INA sheria zake na sheria ni nzuri.lakini tukiwa na sheria zinazowakandamiza wengine, tutapoteza kondoo wengi badala ya kuwaleta kwa Mungu!
6.Utoaji Wa albamu au kurekodi nyimbo kwa nia ya kutafuta pesa au kigezo kwa kwaya.Kwaya nyingi zimeanguka pindi tu wanapotoa albamu ya kwanza!Maana tunakosa kufahamu kuwa sisi ni wainjilisiti na tunawasaidia mapadri wetu kuhubiri injili.
7.Kutotii viongozi Wa kanisa.Wanakwaya wanaokosa kufahamu kuwa wapo chini ya viongozi na kanisa husika Mara nyingi hujipata wakiwa kwa makosa bila kunuia!
8.Kutoishi kwa hali ya sakramenti!Kama kuna jambo kubwa ambalo ibilisi hufurahia, ni yule MTU anayeishi katika maisha ya ndoa isiyo halali mbele za Mungu.Yaani Maana yake unaishi na mke au Mme bila ndoa ya kanisa na huna kizuizi chochote kinachokufanya usipate sakramenti hiyo.
9.Kitubio.Wengi tunapokea sakramenti ya ekaristi katika hali ya dhambi na hatushughuliki kabisaa kwenda kitubio.Hii inachochea zaidi kuwepo kwa dhambi za mazoea katika maisha yetu!
10.Kutosali kila siku.Inakuwa rahisi kwetu sisi kujaribiwa tukiwa hatusali.Kuimba kwako kunawasha hasira za shetani kwa hivo usiposali, bila shaka atarudi kulipiza kisasi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Malima (Guest) on June 5, 2024

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Samson Tibaijuka (Guest) on June 2, 2024

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Susan Wangari (Guest) on April 12, 2024

Nakuombea 🙏

Alex Nyamweya (Guest) on February 21, 2024

Mwamini Bwana; anajua njia

Edward Chepkoech (Guest) on February 1, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Carol Nyakio (Guest) on July 28, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Margaret Anyango (Guest) on December 29, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Stephen Mushi (Guest) on May 21, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Monica Adhiambo (Guest) on February 16, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Anna Malela (Guest) on February 8, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Richard Mulwa (Guest) on January 23, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Nora Lowassa (Guest) on November 17, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Brian Karanja (Guest) on August 16, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Philip Nyaga (Guest) on July 24, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

David Nyerere (Guest) on June 23, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joseph Kawawa (Guest) on June 1, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Sokoine (Guest) on April 2, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Henry Mollel (Guest) on March 3, 2021

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Malima (Guest) on October 10, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Akumu (Guest) on July 17, 2020

Rehema hushinda hukumu

Victor Kamau (Guest) on June 22, 2020

Sifa kwa Bwana!

Janet Wambura (Guest) on May 29, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Edward Lowassa (Guest) on May 1, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Malecela (Guest) on March 7, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Anna Mahiga (Guest) on December 2, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Ruth Mtangi (Guest) on September 13, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Ochieng (Guest) on September 10, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nancy Komba (Guest) on May 12, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Rose Kiwanga (Guest) on April 18, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Grace Njuguna (Guest) on March 22, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 11, 2019

Rehema zake hudumu milele

James Kawawa (Guest) on November 8, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

David Nyerere (Guest) on November 6, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Diana Mumbua (Guest) on March 11, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

James Kawawa (Guest) on December 7, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mrope (Guest) on September 7, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Joyce Nkya (Guest) on March 21, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

James Mduma (Guest) on October 27, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Rose Lowassa (Guest) on September 18, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

David Kawawa (Guest) on June 19, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Ruth Wanjiku (Guest) on April 19, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Mligo (Guest) on March 7, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Michael Mboya (Guest) on February 13, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Alice Wanjiru (Guest) on February 6, 2016

Dumu katika Bwana.

Sarah Karani (Guest) on January 28, 2016

Mungu akubariki!

Frank Macha (Guest) on October 26, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Irene Makena (Guest) on September 14, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Elizabeth Mrope (Guest) on September 5, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anna Mchome (Guest) on August 15, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu nguvu za shetani?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu nguvu za shetani?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Shetani ni adui wa Mungu na mwanadamu. Kanisa linakiri kuwepo kw... Read More

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu?

Karibu kwenye makala hii kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu. Kwa Wakatol... Read More

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzaRead More

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi? Jib... Read More

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Ukombozi katika Kila Hali

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Ukombozi katika Kila Hali

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Ukombozi katika Kila Hali

Hakuna kitu cha thamani zaidi kuliko ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai? Jibu fupi ni ndiyo, Kanisa l... Read More

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Katika Kanisa Katoliki, toba na wongofu ni sehemu muhimu ya maisha ya Kikristo. Imani yetu inatuf... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, viongozi wa kidini na maaskofu ni watu muhimu sana katika kufiki... Read More

Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Kila kitu ni mali ya Mungu.

Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.

Hata mimi mwenyewe ni... Read More

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Katika maisha yetu, tunaenda kupitia chan... Read More