Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Featured Image
Mara nyingi tumekua tukiomba lakini hatupati, sababu zinaweza zikawa hizi ;

1. Mawazo na matarajio yetu

Mara nyingi tunajifunga kwenye maombi yetu pale tunapoomba na kisha kuanza kuwaza "hivi Mungu atanipa kikubwa au kidogo au atanisaidia sana au kidogo" Au tunaomba halafu tunakua na matarajio tofauti na kile tunachoomba. Aidha tunatarajia kupata kidogo au kikubwa.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu kizuizi kwenye maombi yako. Yaani kumuongoza Mungu afanye kwa kiasi kile unachofikiri.

2. Kulenga kutizamwa na watu.

Hii ni kuomba kwa majivuno yaani kuomba ili ukishapata watu waone kuwa umepata.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan'ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu ukuta kwenye maisha yako.

Namna njema ya kuomba ni hii

1. Kutokuomba mambo makuu sana ambayo huna haja nayo na hayana maana katika maisha yako.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on July 20, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

Nakuombea 🙏

John Malisa (Guest) on December 19, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Alice Mrema (Guest) on September 11, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Rose Kiwanga (Guest) on September 7, 2023

Rehema hushinda hukumu

Elijah Mutua (Guest) on May 8, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 27, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Agnes Sumaye (Guest) on March 15, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on January 31, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Michael Mboya (Guest) on November 4, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Kenneth Murithi (Guest) on August 9, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Elizabeth Malima (Guest) on March 16, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Chris Okello (Guest) on January 31, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Alice Jebet (Guest) on January 20, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Kimani (Guest) on September 14, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Agnes Njeri (Guest) on March 25, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Sarah Karani (Guest) on March 3, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

George Mallya (Guest) on December 26, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Nancy Akumu (Guest) on December 9, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Muthui (Guest) on July 29, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Irene Makena (Guest) on June 27, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Mariam Kawawa (Guest) on December 14, 2019

Rehema zake hudumu milele

Francis Njeru (Guest) on November 9, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Charles Mrope (Guest) on November 4, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Simon Kiprono (Guest) on November 25, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Mwinuka (Guest) on November 4, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2018

Dumu katika Bwana.

Joseph Kiwanga (Guest) on October 13, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Mary Mrope (Guest) on August 8, 2018

Sifa kwa Bwana!

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

Mungu akubariki!

Henry Sokoine (Guest) on February 27, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Mwinuka (Guest) on January 16, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Hassan (Guest) on December 1, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Michael Onyango (Guest) on August 24, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Elizabeth Mrema (Guest) on August 7, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edwin Ndambuki (Guest) on July 27, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jane Muthui (Guest) on June 2, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Robert Okello (Guest) on May 21, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Mwinuka (Guest) on April 15, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Faith Kariuki (Guest) on December 5, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Josephine Nduta (Guest) on November 3, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Anna Malela (Guest) on October 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Raphael Okoth (Guest) on August 29, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on May 7, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Mrema (Guest) on October 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?

Kanisa Katoliki ni mojawapo ya madhehebu makubwa duniani na linazingatia sana haki na haki za bin... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?... Read More

Ijue Ishara ya Msalaba

Ijue Ishara ya Msalaba

Read More
Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Read More
Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa ha... Read More
Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Katika Kanisa Katoliki, toba na wongofu ni sehemu muhimu ya maisha ya Kikristo. Imani yetu inatuf... Read More

Uelewa wa namba katika Biblia

Uelewa wa namba katika Biblia

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ... Read More

Usiyumbishwe na kila upepo wa mafundisho

Usiyumbishwe na kila upepo wa mafundisho

Read More
Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu

Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu

Read More

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Read More
Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu? Jibu ni Ndio,  Swali hili limekuwa likiz... Read More