Ekaristi ni nini?
Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na Damu ya Yesu Kristo, katika
maumbo ya mkate na divai. Sakramenti hii
iliwekwa na Yesu Mwenyewe kwenye karamu ya mwisho, siku ya Alhamisi jioni kabla ya mateso
yake. (Yoh 6:1-71; Mt 26:26-28).
maumbo ya mkate na divai. Sakramenti hii
iliwekwa na Yesu Mwenyewe kwenye karamu ya mwisho, siku ya Alhamisi jioni kabla ya mateso
yake. (Yoh 6:1-71; Mt 26:26-28).
Maana ya jina Ekaristia
Tendo la shukrani na baraka.
Jina Ekaristi limetokana na neno la Kigiriki,
Ξ΅ΟΟΞ±ΟΞΉΟΟΡίν, maana yake ni βtendo la shukraniβ,
β kutoa shukrani*β, (Lk 22:19; 1Cor 11:24).
Ni tendo ambalo Yesu analifanya kwa Mungu.
Anamshukuru Mungu kwa kukamilisha kazi ya ukombozi. Tendo la baraka β Ξ΅ΟλογΡίν
Jina Ekaristi limetokana na neno la Kigiriki,
Ξ΅ΟΟΞ±ΟΞΉΟΟΡίν, maana yake ni βtendo la shukraniβ,
β kutoa shukrani*β, (Lk 22:19; 1Cor 11:24).
Ni tendo ambalo Yesu analifanya kwa Mungu.
Anamshukuru Mungu kwa kukamilisha kazi ya ukombozi. Tendo la baraka β Ξ΅ΟλογΡίν
Kulingana na utamaduni wa Wayahudi baraka ilkua ikitolewa wakati wa mlo ikitukuza kazi za up mbaki za Mungu (Mt 26:26; Mk 14:22).
Injili zinazoongelea kuwekwa kwa Ekaristi
Injili tatu zinatueleza jinsi Yesu Kristo alivyoweka
Ekaristi Takatifu:
Mt 26:26-28.
Mk 14: 22-24
Lk 22:19-20
Ekaristi Takatifu:
Mt 26:26-28.
Mk 14: 22-24
Lk 22:19-20
Mwinjili Yohane anaeleza Yesu Kristo mkate wa
uzima. Sura ya sita.
uzima. Sura ya sita.
4. 1Kor 11:23-25
Mtume Paulo anatueleza jambo hilo katika Waraka wa kwanza kwa Wakorintho. 1Kor
11:23-25.
Mtume Paulo anatueleza jambo hilo katika Waraka wa kwanza kwa Wakorintho. 1Kor
11:23-25.
Tunajifunza kutoka kwa Yesu mambo yafuatayo
Lk 22:1. Saa ya Yesu (Lk 22:14). Hapa hamaanishi
saa ya kula, hapana. Bali saa ile ile ya kutimiliza tendo la wokovu. Yohane anapenda kusema saa ya kumtukuza Mungu, saa ya kupita kutoka ulimwengu huu kwenda kwa Baba. Sisi tunaweza kusema, tuna saa maalum ya kuingia katika ulimwengu wa
roho.Saa ya kukutana na Mungu, kutoka
ulimwengu huu kwenda kwa Mungu. (Sala au kifo).
saa ya kula, hapana. Bali saa ile ile ya kutimiliza tendo la wokovu. Yohane anapenda kusema saa ya kumtukuza Mungu, saa ya kupita kutoka ulimwengu huu kwenda kwa Baba. Sisi tunaweza kusema, tuna saa maalum ya kuingia katika ulimwengu wa
roho.Saa ya kukutana na Mungu, kutoka
ulimwengu huu kwenda kwa Mungu. (Sala au kifo).
2. Shukrani na masifu kwa Baba (Lk 22:17).
3. Kugawana sisi kwa sisi kikombe cha kwanza (Lk 22:17).
4. Kumbukumbu ya sadaka yake ya wokovu (Lk 22:19).
5. Uwepo wake (Lk 22:19).
6. Damu yake imemwagika kwa ajili yetu, kikombe cha pili (Lk 22:20).
Ekaristi ni Baraka kuu:
Yesu anabariki βkazi ya wokovu inabarikiwa na Yesu Mwenyewe. Hata vitu tunavyovitumia kila siku ni lazima kuviombea
baraka. Kabla ya mageuzo mkate na divai vinaombewa baraka (Mt 26:26).
Yesu anabariki βkazi ya wokovu inabarikiwa na Yesu Mwenyewe. Hata vitu tunavyovitumia kila siku ni lazima kuviombea
baraka. Kabla ya mageuzo mkate na divai vinaombewa baraka (Mt 26:26).
Yesu anajitoa mwenyewe kwa watu βYesu anajitoa kwa kila mshiriki (Mt 26:26).
Matunda ya Ekaristi katika maisha ya mkristo.
1. Muungano na Kristo:
Ekaristi inatuunganisha na Kristo kwa muungano wa ndani kabisa (Yoh 6:56).
Ekaristi inatuunganisha na Kristo kwa muungano wa ndani kabisa (Yoh 6:56).
2. Uzima wa milele : Ekaristi ni chanzo cha
uzima, maisha yetu yote yanapata uzima kwa kushiriki Mwili na damu ya Kristo, (Yoh 6:57).
uzima, maisha yetu yote yanapata uzima kwa kushiriki Mwili na damu ya Kristo, (Yoh 6:57).
3. Umoja: Ekaristi inaleta umoja wa kweli.
Tunafanywa kuwa mwili mmoja (1Kor 10:16-17).
Tunafanywa kuwa mwili mmoja (1Kor 10:16-17).
4. Huondoa dhambi: Inatuondolea kwa
kuzifuta dhambi ndogo au inatutenga na dhambi ndogo (Mt 26:28; Yoh 1:29). Sakramenti ya
kitubio ndio hasa huondoa dhambi za mauti
(1Yoh 1:7; Yoh 20:22-23).
kuzifuta dhambi ndogo au inatutenga na dhambi ndogo (Mt 26:28; Yoh 1:29). Sakramenti ya
kitubio ndio hasa huondoa dhambi za mauti
(1Yoh 1:7; Yoh 20:22-23).
5. Dawa ya kutuponya kutoka katika umauti:
Ekaristi ni dawa ya kutokufa (Yoh 6:57-58).
Ekaristi ni dawa ya kutokufa (Yoh 6:57-58).
6. Kufufuliwa siku ya mwisho: (Yoh 6:54).
Nguvu ya Ekaristi
βKuponywa kwa
kuondolewa dhambi zetu.
Nguvu za Mungu zimo katika Ekaristi. Kabla ya kupokea Ekaristi tunasali Ee Bwana siesta hili uingie kwangu lakini sema neno tu na roho yangu
itapona. Bila shaka litakuwa kosa kubwa kwetu sisi kufikiri kwamba uponyaji unahusu masuala ya
mwili tu. Si kila uponyaji ni uponyaji wa mwili.
kuondolewa dhambi zetu.
Nguvu za Mungu zimo katika Ekaristi. Kabla ya kupokea Ekaristi tunasali Ee Bwana siesta hili uingie kwangu lakini sema neno tu na roho yangu
itapona. Bila shaka litakuwa kosa kubwa kwetu sisi kufikiri kwamba uponyaji unahusu masuala ya
mwili tu. Si kila uponyaji ni uponyaji wa mwili.
Mtume Paulo katika Waraka wa kwanza kwa Wathesalonike sura ya 5:23 kuwa sisi wanadamu tu mwili, roho na nafsi . Hivyo tunaweza kuponywa nafsi zetu na roho zetu. Hata kama uponyaji haujanja katika mwili.
Lakini mara nyingi ukitokea uponyaji wa ndani basi matokeo
yake utayaona hata kimwili. (anima sana in
corpore sano) (Roho yenye afya katika mwili
wenye afya)
yake utayaona hata kimwili. (anima sana in
corpore sano) (Roho yenye afya katika mwili
wenye afya)
1. Ekaristi Takatifu inayalinda maisha ya
kimanga ya roho tuliyoyapokea wakati wa Ubatizo, kwa kupata anayekomunika nguvu za kimungu za kupambana na vishawishi, na
kudhoofisha nguvu za tamaa. Inaimarisha uhuru wa mapenzi ya nafsi zetu wa kuhimili
mashambulizi ya shetani.
kimanga ya roho tuliyoyapokea wakati wa Ubatizo, kwa kupata anayekomunika nguvu za kimungu za kupambana na vishawishi, na
kudhoofisha nguvu za tamaa. Inaimarisha uhuru wa mapenzi ya nafsi zetu wa kuhimili
mashambulizi ya shetani.
2. Ekaristi Takatifu inaongeza maisha ya
neema ambayo tayari tunayo. Hufanya hivyo kwa kuhuisha fadhila na vipaji vya Roho Mtakatifu
tulivyonavyo.
neema ambayo tayari tunayo. Hufanya hivyo kwa kuhuisha fadhila na vipaji vya Roho Mtakatifu
tulivyonavyo.
3. Ekaristi Takatifu inayatibu magonjwa ya kiroho ya nafsi kwa kuziondoa dhambi ndogo na kumkinga mtu na adhabu ndogo ndogo za kidunia
zitokanazo na dhambi. Ondoleo la dhambi ndogo na mateso ya muda yasababishwayo na dhambi hizi hufanyika mara moja kwa sababu ya upendo
kamili kwa Mungu ambao huamshwa kwa
kuipokea Ekaristi. Ondoleo la dhambi hizi
hutegemea kiasi cha upendo unaoelekezwa
kwenye Ekaristi (Lk 7:47).
zitokanazo na dhambi. Ondoleo la dhambi ndogo na mateso ya muda yasababishwayo na dhambi hizi hufanyika mara moja kwa sababu ya upendo
kamili kwa Mungu ambao huamshwa kwa
kuipokea Ekaristi. Ondoleo la dhambi hizi
hutegemea kiasi cha upendo unaoelekezwa
kwenye Ekaristi (Lk 7:47).
4. Ekaristi Takatifu inatupa furaha ya kiroho tunapomtumikia Kristo, tunapotetea njia yake,
tunapotekeleza majukumu yetu ya maisha, na kufanya sadaka zetu zinazotukabili zile ni katika kuiga maisha ya Mwokozi wetu.
tunapotekeleza majukumu yetu ya maisha, na kufanya sadaka zetu zinazotukabili zile ni katika kuiga maisha ya Mwokozi wetu.
The ListPages module does not work recursively.
Samson Tibaijuka (Guest) on June 1, 2024
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Sharon Kibiru (Guest) on January 23, 2024
Baraka kwako na familia yako.
Lucy Mushi (Guest) on December 24, 2023
Endelea kuwa na imani!
Monica Adhiambo (Guest) on August 17, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Edward Chepkoech (Guest) on January 20, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Janet Mbithe (Guest) on August 12, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Janet Sumaye (Guest) on August 7, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
Sarah Mbise (Guest) on July 23, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Paul Kamau (Guest) on June 26, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Jane Malecela (Guest) on June 2, 2022
Rehema hushinda hukumu
Margaret Mahiga (Guest) on May 29, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
James Kawawa (Guest) on May 27, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Edith Cherotich (Guest) on April 25, 2022
Sifa kwa Bwana!
Wilson Ombati (Guest) on April 2, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
James Kimani (Guest) on January 23, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Fredrick Mutiso (Guest) on September 17, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Stephen Kikwete (Guest) on December 29, 2020
Mungu ni mwema, wakati wote!
Victor Malima (Guest) on September 10, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Joyce Aoko (Guest) on August 10, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Rose Waithera (Guest) on July 7, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Patrick Akech (Guest) on April 9, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Miriam Mchome (Guest) on February 10, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Josephine Nduta (Guest) on February 9, 2020
Neema ya Mungu inatosha kwako
Peter Mbise (Guest) on December 13, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Joseph Kawawa (Guest) on May 20, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
David Ochieng (Guest) on April 3, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
Sarah Karani (Guest) on March 10, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Robert Ndunguru (Guest) on February 20, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
Richard Mulwa (Guest) on February 2, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Brian Karanja (Guest) on October 26, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mary Kendi (Guest) on September 26, 2018
Nakuombea π
Raphael Okoth (Guest) on June 22, 2018
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Grace Minja (Guest) on June 5, 2018
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Sharon Kibiru (Guest) on April 16, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mariam Hassan (Guest) on February 12, 2018
Dumu katika Bwana.
Elizabeth Mrema (Guest) on December 23, 2017
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Chris Okello (Guest) on December 16, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
John Kamande (Guest) on December 12, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Samuel Were (Guest) on November 20, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Grace Wairimu (Guest) on November 2, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Michael Onyango (Guest) on September 14, 2017
Neema na amani iwe nawe.
Joseph Njoroge (Guest) on March 25, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Joyce Aoko (Guest) on October 19, 2016
Mwamini katika mpango wake.
Christopher Oloo (Guest) on October 13, 2016
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2016
Rehema zake hudumu milele
Joseph Kawawa (Guest) on June 4, 2016
Mungu akubariki!
George Ndungu (Guest) on May 15, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Elizabeth Malima (Guest) on April 9, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mary Sokoine (Guest) on May 20, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu