
Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa hapo kwisha habari yako
2. Kufanya umwogope shetani na nguvu zake kuliko unavyompenda MUNGU. Wakristo wengi leo hii husali na kuomba kwa nguvu mno siyo sababu wanampenda MUNGU mno hapana ni sababu wanamwogopa shetani na majeshi yake na muda mwingine hata watumishi wa MUNGU wanamsaidia kwa kuhubiri mno na muda mwingine kuongeza jumvi juu ya nguvu za giza kuna wahubiri huambatanisha kila kitu na vifungo vya nguvu za giza na kusahau kuhubiri uzuri na wema wa MUNGU kwetu.
3.Kutufanya tusahau uwepo wake au kuupuzia. pale tunapokuwa hatupay attention existance ya shetani yeye ndio hupata wakati mzuri wa kutupiga ,sababu ni rahisi mno kutouutambua ubaya wa dhambi kama hatutaamini uwepo wa shetani ktk uovu…hii hutupelekea kutenda dhambi na kuziona siyo dhambi mfano kwa wasomi wengi hupuuzia baadhi ya mambo kama kujilinda na zinaa wakiamini ni kupitwa na wkt kama utakuwa hauna mahusiano ya kingono mpaka umefika chuo kikuu tena huchukulia wasiokuwa hivyo ni wagonjwa.hapo ni kuwa wengi wameignore uwepo wa shetani "no devil no evil" hivyo watu ndio hupotea.
4.KUTUTIA MOYO WAKATI WA KUTENDA DHAMBI NA KUTUKATISHA TAMAA YA KUSAMEHEWA. nitatoa mfano huu mtu ambaaye anataka kufanya uzinzi shetani humtia moyo kuwa MUNGU anajua kuwa sisi ni binadamu dhaifu na yeye husamehe dhambi zetu daima lakini ifikiapo wakati ukataka kutubu hafanya kila njia kukukatisha tamaa ya kusamehewa na hututia aibu hata kutsmka kwa padri kuwa nimedhini maana huanza kufikiria padre atanionaje mimi.
BASI NDUGU TUSISINZIE BALI TUWE MACHO DAIMA MSHITAKI WETU YU MACHO KUTUJARIBU.
2. Kufanya umwogope shetani na nguvu zake kuliko unavyompenda MUNGU. Wakristo wengi leo hii husali na kuomba kwa nguvu mno siyo sababu wanampenda MUNGU mno hapana ni sababu wanamwogopa shetani na majeshi yake na muda mwingine hata watumishi wa MUNGU wanamsaidia kwa kuhubiri mno na muda mwingine kuongeza jumvi juu ya nguvu za giza kuna wahubiri huambatanisha kila kitu na vifungo vya nguvu za giza na kusahau kuhubiri uzuri na wema wa MUNGU kwetu.
3.Kutufanya tusahau uwepo wake au kuupuzia. pale tunapokuwa hatupay attention existance ya shetani yeye ndio hupata wakati mzuri wa kutupiga ,sababu ni rahisi mno kutouutambua ubaya wa dhambi kama hatutaamini uwepo wa shetani ktk uovu…hii hutupelekea kutenda dhambi na kuziona siyo dhambi mfano kwa wasomi wengi hupuuzia baadhi ya mambo kama kujilinda na zinaa wakiamini ni kupitwa na wkt kama utakuwa hauna mahusiano ya kingono mpaka umefika chuo kikuu tena huchukulia wasiokuwa hivyo ni wagonjwa.hapo ni kuwa wengi wameignore uwepo wa shetani "no devil no evil" hivyo watu ndio hupotea.
4.KUTUTIA MOYO WAKATI WA KUTENDA DHAMBI NA KUTUKATISHA TAMAA YA KUSAMEHEWA. nitatoa mfano huu mtu ambaaye anataka kufanya uzinzi shetani humtia moyo kuwa MUNGU anajua kuwa sisi ni binadamu dhaifu na yeye husamehe dhambi zetu daima lakini ifikiapo wakati ukataka kutubu hafanya kila njia kukukatisha tamaa ya kusamehewa na hututia aibu hata kutsmka kwa padri kuwa nimedhini maana huanza kufikiria padre atanionaje mimi.
BASI NDUGU TUSISINZIE BALI TUWE MACHO DAIMA MSHITAKI WETU YU MACHO KUTUJARIBU.
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Chris Okello (Guest) on July 6, 2024
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Wilson Ombati (Guest) on May 12, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
James Kimani (Guest) on April 29, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Philip Nyaga (Guest) on April 5, 2024
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2024
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Margaret Mahiga (Guest) on September 27, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Margaret Mahiga (Guest) on July 2, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Josephine Nduta (Guest) on October 30, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Michael Onyango (Guest) on August 21, 2022
Mwamini Bwana; anajua njia
Benjamin Kibicho (Guest) on April 16, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Jane Muthui (Guest) on January 3, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Ruth Kibona (Guest) on April 4, 2021
Mungu akubariki!
Simon Kiprono (Guest) on October 24, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Sharon Kibiru (Guest) on September 17, 2020
Nakuombea 🙏
Sarah Mbise (Guest) on April 9, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
John Malisa (Guest) on February 1, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Charles Mrope (Guest) on December 31, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Jane Muthui (Guest) on November 1, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
Chris Okello (Guest) on October 22, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Edward Chepkoech (Guest) on October 20, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Samuel Were (Guest) on September 30, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Anna Mchome (Guest) on September 7, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
Samuel Were (Guest) on August 23, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Grace Mligo (Guest) on July 11, 2019
Baraka kwako na familia yako.
James Malima (Guest) on November 27, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
Joseph Kitine (Guest) on November 6, 2018
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Lucy Mahiga (Guest) on September 26, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Miriam Mchome (Guest) on September 7, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Edward Chepkoech (Guest) on July 23, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Margaret Mahiga (Guest) on July 5, 2018
Mwamini katika mpango wake.
Joseph Njoroge (Guest) on March 6, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
Charles Mboje (Guest) on February 20, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Chris Okello (Guest) on December 25, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Monica Lissu (Guest) on December 3, 2017
Sifa kwa Bwana!
Alex Nyamweya (Guest) on October 26, 2017
Dumu katika Bwana.
Miriam Mchome (Guest) on September 30, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Charles Mrope (Guest) on January 26, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Miriam Mchome (Guest) on November 28, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Nancy Akumu (Guest) on September 25, 2016
Endelea kuwa na imani!
Josephine Nduta (Guest) on August 17, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Francis Mtangi (Guest) on May 22, 2016
Rehema zake hudumu milele
Grace Mligo (Guest) on December 6, 2015
Rehema hushinda hukumu
Dorothy Nkya (Guest) on November 17, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Vincent Mwangangi (Guest) on October 26, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
James Mduma (Guest) on September 15, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
George Wanjala (Guest) on September 14, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
John Lissu (Guest) on August 1, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Rose Amukowa (Guest) on July 12, 2015
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Ruth Kibona (Guest) on May 16, 2015
Neema na amani iwe nawe.
Hellen Nduta (Guest) on April 11, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida