Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
โ˜ฐ
AckyShine

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sanaโ€ฆ
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akaponaโ€ฆ
Baada ya Muda Mrefu
Kupita, nabii yule aliumwa
na Jino tenaโ€ฆ
Safari Hii alienda
moja kwa moja kwenye mti
Na kuchuma majani yake
na kuyatumia,Lakini
hakupona..
Akaja tena Kwa Mungu
na kumwambiaโ€ฆ
"Mbona ule mti niliutumia
Haukuniponyesha kama
Wakati ule? "
Mungu akamjibuโ€ฆ
"Mara ya Mwanzo ulipona
Kwa kuwa
ulinitegemea mimi, mara ya
Pili hakupona kwa kuwa
Uliutegemea Mti"..

KILA WAKATI TUNAPASWA
KUMUOMBA NA
KUMTEGEMEA MUNGU,
HATA KAMA KWA JAMBO
AMBALO ALISHATUJIBU..
KWA KUTOKUFANYA HIVYO
NDIYO MAANA MARA
KADHAA
TUNAKOSA MAFANIKIOโ€ฆ

โœ”Tulipooomba mchumba
Tulipompata
Hatukuombea Ulinzi wa
ndoa zetu, matokeo yake
Ni vilio kwenye ndoa
Karibu zote..

โœ” Tuliomba watoto,
Tulipowapata
muda mwingi tukatumia
Akili zetu kuwalea
Na kusahau kumshirikisha
Mungu katika malezi yao,
mwisho wa yote
Tunaishia kusema
Watoto wa siku hiziโ€ฆ

โœ” Tuliomba kazi kwa Mungu ,
Tulipopata tukaanza
Kutumia akili zetu katika
Kazi hizo na kuanza
Kudharau wenzetu na
Kuzisaliti ndoa
na familia zetu..
โ–ช Familia zinaliaโ€ฆ
โ–ช Watoto wanalia
Baraka zitatoka wapi?

โ–ช Kabla ya Kupata kazi
Tulikuwa Hatukosi
Kanisani,
Hakukosi kwenye
Maombiโ€ฆ
TUMEPATA KAZI
TUMEKUWA BIZE
HAKUNA MAOMBI
WALA KANISANI..
Baraka zitokee wapi?
Mafanikio yatoke wapi?
Mshahara mkubwa
Lakini madeni kila siku,
Tena tunakopeshwa na
Tuliowazidi mshaharaโ€ฆ

Wapendwa tustuke..
Tumrudie Munguโ€ฆ
Tusisingizie uchawi..
Tumejiroga wenyewe..

Tumuweke Mungu mbele..

Tafakari chukua hatua

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Sokoine (Guest) on June 8, 2024

Imani inaweza kusogeza milima

Alice Mwikali (Guest) on May 3, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Mahiga (Guest) on September 4, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Rose Kiwanga (Guest) on August 17, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Mallya (Guest) on July 6, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samuel Were (Guest) on May 26, 2023

Rehema hushinda hukumu

Janet Wambura (Guest) on April 28, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Mariam Hassan (Guest) on April 19, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Joy Wacera (Guest) on February 16, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Bernard Oduor (Guest) on February 4, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Mligo (Guest) on July 21, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Musyoka (Guest) on May 24, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Brian Karanja (Guest) on March 19, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Lucy Wangui (Guest) on October 23, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mary Sokoine (Guest) on September 24, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Moses Kipkemboi (Guest) on April 16, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Josephine Nduta (Guest) on April 3, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Victor Mwalimu (Guest) on March 9, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

George Ndungu (Guest) on January 9, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Isaac Kiptoo (Guest) on September 1, 2020

Mungu akubariki!

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Anna Mahiga (Guest) on July 21, 2020

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Peter Mugendi (Guest) on June 22, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Edith Cherotich (Guest) on April 25, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Martin Otieno (Guest) on March 24, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Njeri (Guest) on March 5, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Stephen Kangethe (Guest) on February 2, 2020

Sifa kwa Bwana!

David Musyoka (Guest) on February 1, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Wafula (Guest) on December 5, 2019

Dumu katika Bwana.

Monica Lissu (Guest) on September 2, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2019

Neema na amani iwe nawe.

George Wanjala (Guest) on August 17, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Diana Mumbua (Guest) on June 15, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Joyce Aoko (Guest) on April 6, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Stephen Malecela (Guest) on January 5, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Joseph Kawawa (Guest) on November 13, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 20, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joyce Aoko (Guest) on January 23, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Simon Kiprono (Guest) on November 18, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Nora Kidata (Guest) on September 21, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

James Kawawa (Guest) on February 23, 2017

Rehema zake hudumu milele

Charles Mchome (Guest) on January 10, 2017

Nakuombea ๐Ÿ™

Andrew Mchome (Guest) on May 11, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Paul Ndomba (Guest) on April 13, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Ruth Kibona (Guest) on October 26, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Mwambui (Guest) on October 25, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Stephen Malecela (Guest) on September 22, 2015

Endelea kuwa na imani!

George Ndungu (Guest) on June 21, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Samuel Were (Guest) on May 8, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Yesu Kristo kama Mungu na mwanadamu kamili?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Yesu Kristo kama Mungu na mwanadamu kamili?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Yesu Kristo kama Mungu na mwanadamu kamili?

Ndio! Kanisa K... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ya Kikristo yanayoamini katika maisha ya milele. Imani hii n... Read More

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

KWANINI TAREHE ZA PASAKA HUBADILIKA KILA MWAKA ??

JIBU:
KALENDA za mwanzo ziliutumia m... Read More

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

Read More
Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Read More
Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai? Jibu fupi ni ndiyo, Kanisa l... Read More

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Read More
Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya huruma ya Mungu ni njia ya ukarabati na uongofu kwa kila mtu. Inatupa fursa ya kupitia m... Read More

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu.

Ndugu yangu, Ibada ya Huruma ya Mu... Read More

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa ha... Read More
Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Siku niliposoma hili andiko kwa mara ya kwanza nakumbuka, kwanza nilipata mshtuko flani baada ya ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Jibu ni ndiyo! Kanisa Kat... Read More