Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

Featured Image
1.Kila saa moja tunayotumia kuabudu, inafurahisha moyo wa Yesu na hivyo majina yetu huandikwa mbinguni kwa ajili ya uzima wa milele (Mama Thereza wa Calcuta)
2.Maisha ya kiroho ya familia zetu yanaimarishwa kwa njia ya saa ya kuabudu (John Paul II)
3. Saa takatifu ya kuabudu ni ya muhimu sana kiasi kwamba roho za waamini wengi huenda kwenye uzima (mbinguni) badala ya motoni (ufunuo wa Yesu kwa Dina Belanger)
4. Wakati pekee ambao Yesu aliwaomba kitu wanafunzi wake ni wakati anakaribia mateso na hakuomba chochote isipokua saa moja ya kukesha nae (Askofu Mkuu Fulton Sheen)
5.Saa moja takatifu ya kuabudu ni kushiriki katika harakati za ukombozi (Askofu mkuu Fulton Sheen)
6. Neema ya kuabudu Ekaristi iko juu ya watu wote (St Peter Julian Eymard)
7.Bwana wetu Yesu husikia maombi yetu yote na popote lakini amewafunulia watu wake kuwa wale watakaokwenda kukaa nae katika kuabudu Ekaristi wanapata neema zaidi (Mtakatifu Alphonsus Ligoria)
8.Kila saa unapokwenda kuabudu kumbuka kwamba Yesu amekusubiria wewe binafsi kwenda kumtembelea kwa karne ishirini (St Josemaria scavia)
9.Kuabudu kwa dhati kuna neema na manufaa makubwa ambayo huzidi kwa wale wanaoabudu, hupanuka na kugusa nyumba zao familia zao na mpaka katika parokia zao (Pope Paul VI)
10. Saa moja takatifu mbele ya Ekaristi ni muhimu kuliko miaka elfu moja ya utukufu wa mwanadamu (Mtakatifu Padre Pio)
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mugendi (Guest) on June 26, 2024

Mwamini Bwana; anajua njia

Ann Awino (Guest) on April 26, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Paul Ndomba (Guest) on April 16, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Elijah Mutua (Guest) on February 25, 2024

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Rose Amukowa (Guest) on October 12, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Peter Tibaijuka (Guest) on April 18, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ruth Kibona (Guest) on March 15, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Kamau (Guest) on February 9, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Edwin Ndambuki (Guest) on January 21, 2023

Endelea kuwa na imani!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 28, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

James Malima (Guest) on August 17, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Kawawa (Guest) on March 6, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2022

Nakuombea πŸ™

Lydia Mahiga (Guest) on August 15, 2021

Baraka kwako na familia yako.

David Kawawa (Guest) on June 11, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Margaret Mahiga (Guest) on May 21, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Joseph Kitine (Guest) on April 1, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Rose Lowassa (Guest) on March 17, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 12, 2021

Rehema zake hudumu milele

James Mduma (Guest) on August 31, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

David Ochieng (Guest) on August 25, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Monica Nyalandu (Guest) on July 19, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Jane Muthui (Guest) on June 12, 2020

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Irene Akoth (Guest) on May 7, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Simon Kiprono (Guest) on December 9, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Andrew Odhiambo (Guest) on November 11, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Robert Ndunguru (Guest) on June 15, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

James Kawawa (Guest) on April 25, 2019

Sifa kwa Bwana!

Bernard Oduor (Guest) on April 9, 2019

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Patrick Kidata (Guest) on April 5, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Mary Kendi (Guest) on February 27, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Jane Muthoni (Guest) on November 9, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Alice Wanjiru (Guest) on August 12, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Peter Mbise (Guest) on May 15, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Raphael Okoth (Guest) on April 20, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lucy Kimotho (Guest) on December 27, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Betty Kimaro (Guest) on December 27, 2017

Dumu katika Bwana.

Joyce Mussa (Guest) on July 1, 2017

Mungu akubariki!

Linda Karimi (Guest) on September 26, 2016

Mwamini katika mpango wake.

James Malima (Guest) on August 10, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Malela (Guest) on July 16, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Lissu (Guest) on April 10, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Elizabeth Mrope (Guest) on February 8, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Vincent Mwangangi (Guest) on January 29, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Moses Mwita (Guest) on December 14, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Patrick Akech (Guest) on December 7, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Alice Mwikali (Guest) on November 11, 2015

Rehema hushinda hukumu

David Ochieng (Guest) on September 5, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jacob Kiplangat (Guest) on June 3, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Njia Bora ya Kuelewa Masomo ya Misa ya Dominika ya Jumapili

Moyo wangu unajaa furaha na sh... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na ama... Read More

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Uongozi katika Maisha

Katika maisha yetu, tunaenda kupitia chan... Read More

Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kukusanya Hekima Kutoka kwa Masomo ya Misa ya Dominika: Jinsi ya Kufanya

Kumekuwa na destu... Read More

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Read More
Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Katoliki ni dini inayoheshimu na kufundisha thamani ya maisha ya binadamu. Kanisa Katoliki linafu... Read More

Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Imani ni nguvu yenye uwezo... Read More

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Read More
Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Read More
Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Watu wawiliπŸ‘¬ walikuwa wanakunywa pombe🍺🍻 baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishanaπŸ™…πŸ... Read More

Maana ya jina Bikira Maria

Maana ya jina Bikira Maria

Read More