Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Sala fupi ya Asubuhi

Featured Image

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.

Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Diana Mallya (Guest) on July 9, 2024

Rehema zake hudumu milele

Edward Chepkoech (Guest) on June 22, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Lucy Wangui (Guest) on May 15, 2024

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Victor Kamau (Guest) on April 22, 2024

Sifa kwa Bwana!

Grace Mushi (Guest) on April 19, 2024

Nakuombea πŸ™

Paul Ndomba (Guest) on March 20, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Ruth Kibona (Guest) on December 30, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Kendi (Guest) on December 18, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Mwikali (Guest) on December 12, 2023

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Mary Njeri (Guest) on November 6, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Bernard Oduor (Guest) on September 21, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Samson Tibaijuka (Guest) on September 19, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Kimario (Guest) on April 7, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Samson Mahiga (Guest) on January 21, 2023

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Irene Makena (Guest) on January 18, 2023

Endelea kuwa na imani!

Paul Kamau (Guest) on September 22, 2022

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Mary Kidata (Guest) on August 9, 2022

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Ruth Mtangi (Guest) on May 11, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Hellen Nduta (Guest) on April 6, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Azima (Guest) on December 12, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Mary Njeri (Guest) on September 28, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Nora Kidata (Guest) on September 7, 2021

Rehema hushinda hukumu

Fredrick Mutiso (Guest) on September 5, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Janet Sumaye (Guest) on July 20, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Joseph Kitine (Guest) on June 1, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Alice Mwikali (Guest) on April 26, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Lucy Kimotho (Guest) on March 16, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Agnes Njeri (Guest) on March 11, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Lydia Wanyama (Guest) on September 6, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Grace Majaliwa (Guest) on July 29, 2020

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Nancy Akumu (Guest) on May 11, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Nancy Kabura (Guest) on April 15, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Joseph Kawawa (Guest) on March 4, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Njoroge (Guest) on March 3, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Patrick Kidata (Guest) on February 6, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Philip Nyaga (Guest) on December 21, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Linda Karimi (Guest) on October 19, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Njoroge (Guest) on October 5, 2019

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

John Lissu (Guest) on August 24, 2019

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Lydia Wanyama (Guest) on July 18, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Stephen Kangethe (Guest) on July 13, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Miriam Mchome (Guest) on July 6, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Rose Kiwanga (Guest) on June 3, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Victor Kamau (Guest) on May 20, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

James Kawawa (Guest) on May 8, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Kawawa (Guest) on April 15, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

John Lissu (Guest) on March 15, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Elizabeth Mrope (Guest) on February 27, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Agnes Lowassa (Guest) on February 24, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Edwin Ndambuki (Guest) on December 19, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Philip Nyaga (Guest) on September 17, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Lucy Kimotho (Guest) on September 7, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Edith Cherotich (Guest) on June 14, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Alice Wanjiru (Guest) on March 16, 2018

Dumu katika Bwana.

Related Posts

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact