Katekista ni nani?
Katekista ni mlei aliyechaguliwa na Kanisa ili kumfanya Kristo ajulikane, apendwe, na kufuatwa na wale ambao hawajamfahamu na pia waamini
Waraka wa Baba Mtakatifu Unatafsiri vipi Makatekista?
Waraka unasema;
1. Makatekista ni Wafanyakazi maalimu
2. Mashahidi wa moja kwa moja, Wainjilishaji wasio na mbadala
Mkusanyo Sheria Kanuni za Kanisa unaelezaje kuhusu Makatekista?
Unaeleza kuwa - Makatekista ni Walei Wakristo ambao wamepewa malezi halisi na wanajitokeza vizuri katika maisha ya Ukristo wao.
Chini ya Uongozi wa Kanisa Katekista anafanya Kazi gani?
1. Yeye ni Kiungo cha Mapadre na waamini wa eneo lake
2. Kufikisha mafundisho ya Injili na kuhusika kwenye kazi za Ibada za kiliturujia na kazi za Huruma
3. Kuhubiri na kuwafundisha wakatekumeni
4. Kuelimisha vijana na watu wazima kkatika maswala ya Imani
5. Kuongoza Sala za Jumuiya hasa kwenye Ibada za Jumapili Ikiwa Padre hayupo
6. Kuwatembelea wagonjwa na kuwasaidia na kuongoza Ibada za Mazishi
7. Kufundisha dini mashuleni na kuwaandaa watoto katika kupokea Sakramenti mbalimbali
8. Kutembelea Jumuiya ndogondogo kuziendeleza na kuziimarisha
Elizabeth Malima (Guest) on June 3, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
Michael Mangazini (Guest) on May 29, 2024
Kazi nzuriπ
Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on May 30, 2024
Endelea kujifunza na Kubarikiwa
Kevin Maina (Guest) on April 13, 2024
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Fredrick Mutiso (Guest) on November 9, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
James Kimani (Guest) on October 22, 2023
Rehema zake hudumu milele
Benjamin Masanja (Guest) on October 17, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Betty Cheruiyot (Guest) on September 3, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Janet Wambura (Guest) on July 2, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Richard Mulwa (Guest) on June 4, 2023
Baraka kwako na familia yako.
Samuel Were (Guest) on December 4, 2022
Mwamini katika mpango wake.
Esther Nyambura (Guest) on November 25, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Frank Macha (Guest) on August 20, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Andrew Mchome (Guest) on July 21, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Tabitha Okumu (Guest) on June 23, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
David Musyoka (Guest) on April 23, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Stephen Amollo (Guest) on December 4, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Irene Akoth (Guest) on September 25, 2021
Endelea kuwa na imani!
Wilson Ombati (Guest) on May 14, 2021
Kwa Mungu, yote yanawezekana
James Malima (Guest) on April 20, 2021
Rehema hushinda hukumu
Emily Chepngeno (Guest) on March 21, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Francis Mrope (Guest) on March 12, 2021
Dumu katika Bwana.
Victor Kamau (Guest) on February 15, 2021
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Frank Macha (Guest) on January 30, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
Nancy Komba (Guest) on January 23, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mary Kendi (Guest) on July 4, 2020
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Mary Sokoine (Guest) on June 6, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Nora Kidata (Guest) on April 8, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Lucy Wangui (Guest) on February 26, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Elizabeth Mtei (Guest) on January 14, 2020
Neema ya Mungu inatosha kwako
John Lissu (Guest) on January 10, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
Peter Tibaijuka (Guest) on December 24, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mary Njeri (Guest) on June 30, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Monica Nyalandu (Guest) on June 30, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Ann Awino (Guest) on June 20, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Edward Lowassa (Guest) on February 8, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Samuel Omondi (Guest) on February 5, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Lydia Mzindakaya (Guest) on December 13, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Elizabeth Mtei (Guest) on June 30, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Ruth Wanjiku (Guest) on June 19, 2018
Sifa kwa Bwana!
Peter Otieno (Guest) on May 31, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Josephine Nekesa (Guest) on April 6, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Joseph Kawawa (Guest) on March 27, 2018
Mungu akubariki!
Victor Malima (Guest) on February 11, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Mary Kidata (Guest) on November 21, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
George Wanjala (Guest) on October 27, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
Peter Tibaijuka (Guest) on August 23, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
John Malisa (Guest) on July 24, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
John Mwangi (Guest) on July 19, 2016
Nakuombea π
Diana Mallya (Guest) on April 29, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Jane Muthui (Guest) on August 12, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Josephine Nekesa (Guest) on June 30, 2015
Neema na amani iwe nawe.