Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Maswali na majibu kuhusu Katekesi

Featured Image
Katekista ni nani?

Katekista ni mlei aliyechaguliwa na Kanisa ili kumfanya Kristo ajulikane, apendwe, na kufuatwa na wale ambao hawajamfahamu na pia waamini







Waraka wa Baba Mtakatifu Unatafsiri vipi Makatekista?

Waraka unasema;
1. Makatekista ni Wafanyakazi maalimu
2. Mashahidi wa moja kwa moja, Wainjilishaji wasio na mbadala







Mkusanyo Sheria Kanuni za Kanisa unaelezaje kuhusu Makatekista?

Unaeleza kuwa - Makatekista ni Walei Wakristo ambao wamepewa malezi halisi na wanajitokeza vizuri katika maisha ya Ukristo wao.







Chini ya Uongozi wa Kanisa Katekista anafanya Kazi gani?

1. Yeye ni Kiungo cha Mapadre na waamini wa eneo lake
2. Kufikisha mafundisho ya Injili na kuhusika kwenye kazi za Ibada za kiliturujia na kazi za Huruma
3. Kuhubiri na kuwafundisha wakatekumeni
4. Kuelimisha vijana na watu wazima kkatika maswala ya Imani

5. Kuongoza Sala za Jumuiya hasa kwenye Ibada za Jumapili Ikiwa Padre hayupo
6. Kuwatembelea wagonjwa na kuwasaidia na kuongoza Ibada za Mazishi
7. Kufundisha dini mashuleni na kuwaandaa watoto katika kupokea Sakramenti mbalimbali
8. Kutembelea Jumuiya ndogondogo kuziendeleza na kuziimarisha

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Malima (Guest) on June 3, 2024

Mwamini Bwana; anajua njia

Michael Mangazini (Guest) on May 29, 2024

Kazi nzuriπŸ‘

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on May 30, 2024

Endelea kujifunza na Kubarikiwa

Kevin Maina (Guest) on April 13, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Fredrick Mutiso (Guest) on November 9, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

James Kimani (Guest) on October 22, 2023

Rehema zake hudumu milele

Benjamin Masanja (Guest) on October 17, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Betty Cheruiyot (Guest) on September 3, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Janet Wambura (Guest) on July 2, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Richard Mulwa (Guest) on June 4, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Samuel Were (Guest) on December 4, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Esther Nyambura (Guest) on November 25, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Frank Macha (Guest) on August 20, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Andrew Mchome (Guest) on July 21, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Tabitha Okumu (Guest) on June 23, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

David Musyoka (Guest) on April 23, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Stephen Amollo (Guest) on December 4, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Irene Akoth (Guest) on September 25, 2021

Endelea kuwa na imani!

Wilson Ombati (Guest) on May 14, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

James Malima (Guest) on April 20, 2021

Rehema hushinda hukumu

Emily Chepngeno (Guest) on March 21, 2021

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Francis Mrope (Guest) on March 12, 2021

Dumu katika Bwana.

Victor Kamau (Guest) on February 15, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Frank Macha (Guest) on January 30, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Nancy Komba (Guest) on January 23, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Mary Kendi (Guest) on July 4, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Mary Sokoine (Guest) on June 6, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nora Kidata (Guest) on April 8, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Lucy Wangui (Guest) on February 26, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Elizabeth Mtei (Guest) on January 14, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Lissu (Guest) on January 10, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Peter Tibaijuka (Guest) on December 24, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Njeri (Guest) on June 30, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Monica Nyalandu (Guest) on June 30, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Ann Awino (Guest) on June 20, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Edward Lowassa (Guest) on February 8, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Samuel Omondi (Guest) on February 5, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 13, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Elizabeth Mtei (Guest) on June 30, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Ruth Wanjiku (Guest) on June 19, 2018

Sifa kwa Bwana!

Peter Otieno (Guest) on May 31, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Josephine Nekesa (Guest) on April 6, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Joseph Kawawa (Guest) on March 27, 2018

Mungu akubariki!

Victor Malima (Guest) on February 11, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Mary Kidata (Guest) on November 21, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

George Wanjala (Guest) on October 27, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Tibaijuka (Guest) on August 23, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Malisa (Guest) on July 24, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Mwangi (Guest) on July 19, 2016

Nakuombea πŸ™

Diana Mallya (Guest) on April 29, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jane Muthui (Guest) on August 12, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nekesa (Guest) on June 30, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Related Posts

Maswali na Majibu kuhusu Karama

Maswali na Majibu kuhusu Karama

Read More
Maswali na Majibu kuhusu Mitume

Maswali na Majibu kuhusu Mitume

Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu?

Karibu kwenye makala hii kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu. Kwa Wakatol... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu? Jibu ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Katoliki ni dini inayoheshimu na kufundisha thamani ya maisha ya binadamu. Kanisa Katoliki linafu... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Kanisa Katoliki ni moja kati ya makanisa makubwa duniani ambayo yamejikita katika kufundisha na k... Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu ... Read More

Maswali na majibu kuhusu Mpako wa wagonjwa au Mpako wa Mwisho

Maswali na majibu kuhusu Mpako wa wagonjwa au Mpako wa Mwisho

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Kanisa Katoliki linatambua kuwa Mungu aliumba ulimwengu na binadamu kwa mapenzi yake, lakini pia ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kusamehe na kupokea msamaha katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kusamehe na kupokea msamaha katika maisha ya Kikristo?

Neno la Mungu linatufundisha kuhusu msamaha na upendo, ndiyo maana Kanisa Katoliki linahubiri na ... Read More

Amri ya Sita ya Mungu: Kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu

Amri ya Sita ya Mungu: Kutunza usafi wa moyo na kuwa waaminifu

Katika Amri ya Sita na Tisa Mungu ametuamuru nini?Read More