Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Featured Image
Hii ndiyo Sala ya Toba
Zaburi 51
1 Ee Mungu, unirehemu,Sawasawa na fadhili zako.Kiasi cha wingi wa rehema zako,Uyafute makosa yangu.
2 Unioshe kabisa na uovu wangu,Unitakase dhambi zangu.
3 Maana nimejua mimi makosa yanguNa dhambi yangu i mbele yangu daima.
4 Nimekutenda dhambi Wewe peke yako,Na kufanya maovu mbele za macho yako.Wewe ujulikane kuwa una haki unenapo,Na kuwa safi utoapo hukumu.
5 Tazama, mimi naliumbwa katika hali ya uovu;Mama yangu alinichukua mimba hatiani.
6 Tazama, wapendezwa na kweli iliyo moyoni;Nawe utanijulisha hekima kwa siri,
7 Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi,Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji
8 Unifanye kusikia furaha na shangwe,Mifupa uliyoiponda ifurahi.
9 Usitiri uso wako usitazame dhambi zangu;Uzifute hatia zangu zote.
10 Ee Mungu, uniumbie moyo safi,Uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu
11 Usinitenge na uso wako,Wala roho yako mtakatifu usiniondolee.
12 Unirudishie furaha ya wokovu wako;Unitegemeze kwa roho ya wepesi.
13 Nitawafundisha wakosaji njia zako,Na wenye dhambi watarejea kwako.
14 Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu,Uniponye na damu za watu,Na ulimi wangu utaiimba haki yako.
15 Ee Bwana, uifumbue midomo yangu,Na kinywa changu kitazinena sifa zako.
16 Maana hupendezwi na dhabihu, au ningeitoa,Wewe huridhii sadaka ya kuteketezwa.
17 Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka,Ee Mungu, hutaudharau.
18 Uitendee mema Sayuni kwa radhi yako,Uzijenge kuta za Yerusalemu.
19 Ndipo utakapopendezwa na dhabihu za haki,Na sadaka za kuteketezwa, na kafara.Ndipo watakapotoa ng’ombeJuu ya madhabahu yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mrope (Guest) on May 26, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Edwin Ndambuki (Guest) on September 27, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Elizabeth Mrema (Guest) on June 27, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lucy Mahiga (Guest) on May 26, 2023

Rehema zake hudumu milele

Charles Mrope (Guest) on April 10, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 28, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

David Chacha (Guest) on March 7, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Henry Mollel (Guest) on December 29, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Elizabeth Mrope (Guest) on December 18, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Anna Mchome (Guest) on December 15, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Charles Mrope (Guest) on October 13, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Rose Amukowa (Guest) on April 24, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

David Kawawa (Guest) on February 13, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Andrew Mahiga (Guest) on January 28, 2021

Rehema hushinda hukumu

Margaret Mahiga (Guest) on January 9, 2021

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Ann Awino (Guest) on October 7, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Charles Mrope (Guest) on October 2, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Sarah Mbise (Guest) on September 30, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joy Wacera (Guest) on September 29, 2020

Sifa kwa Bwana!

Peter Mwambui (Guest) on August 15, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Linda Karimi (Guest) on July 31, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Betty Kimaro (Guest) on June 1, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Henry Sokoine (Guest) on April 30, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Andrew Odhiambo (Guest) on April 12, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Francis Mrope (Guest) on December 31, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

David Ochieng (Guest) on December 16, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Agnes Lowassa (Guest) on November 12, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lydia Wanyama (Guest) on October 11, 2019

Nakuombea 🙏

Ruth Kibona (Guest) on August 19, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

David Nyerere (Guest) on January 20, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Moses Kipkemboi (Guest) on January 19, 2019

Dumu katika Bwana.

Andrew Mchome (Guest) on October 20, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Lucy Kimotho (Guest) on October 17, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Lucy Wangui (Guest) on August 22, 2018

Endelea kuwa na imani!

Lucy Mushi (Guest) on August 21, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Joyce Aoko (Guest) on July 24, 2018

Mungu akubariki!

Moses Mwita (Guest) on June 7, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Grace Wairimu (Guest) on March 11, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

George Wanjala (Guest) on December 28, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Esther Cheruiyot (Guest) on September 29, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Samuel Omondi (Guest) on May 23, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Simon Kiprono (Guest) on April 29, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Stephen Amollo (Guest) on February 7, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Mary Njeri (Guest) on January 4, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Daniel Obura (Guest) on April 27, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Peter Mbise (Guest) on March 22, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Bernard Oduor (Guest) on March 18, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Mary Mrope (Guest) on October 25, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu kuombea wafu?

Ni jambo la kawaida kwa Kanisa Katoliki kuombea wafu. Kuombea wafu ni sehemu ya imani yetu kama W... Read More

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Siku niliposoma hili andiko kwa mara ya kwanza nakumbuka, kwanza nilipata mshtuko flani baada ya ... Read More

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ya Kikristo yanayoamini katika maisha ya milele. Imani hii n... Read More

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Read More
AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Katika Kanisa Katoliki, watoto wachanga ni baraka kubwa kutoka kwa Mungu. Imani yetu inaamini kuw... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Salaam wapenzi wa Kristo! Leo tunajadili swali muhimu sana kuhusu imani yetu ya kikatoliki. Je, K... Read More

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

KWANINI TAREHE ZA PASAKA HUBADILIKA KILA MWAKA ??

JIBU:
KALENDA za mwanzo ziliutumia m... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Upatanisho?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Upatanisho?

Kanisa Katoliki linayo imani thabiti kuhusu sakramenti ya Upatanisho. Ni sakramenti ambayo inakub... Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Read More