Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Biblia inatuambia nini kuhusu pombe?

Featured Image
Angalizo; Tunapoongelea kuhusu pombe sio kwamba tunahamasisha kutumia pombe bali tuelewe kile tunachofanya kwa mapenzi ya Mungu!
pombe haikukataliwa ila itumike kwa kiasi.

Mhubiri 9:7
Wewe enenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.

Tito 2:3
Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji, wasiwe wenye kutumia mvinyo nyingi, bali wafundishao mema;

1Timotheo 5:21,23
"21 Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo Yesu na mbele ya malaika watakatifu, uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda.

23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.

Yoshua Bin Sira 31:25-29
"25 Usijionyeshe kuwa hodari wa kunywa pombe, maana imewaangamiza wengi.
26 Tanuru hupima ugumu wa chuma, na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.
27 Pombe ni kama uhai kwa mtu akinywa kwa kiasi, Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.
28 Kunywa pombe kwa wakati wake na kwa kiasi, kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.
29 Lakini kunywa pombe kupita kiasi, kunaleta kuumwa kichwa, uchungu na fedheha."

Wakolosai 2:16-18a

"kwa hiyo basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu VYAKULA au VINYWAJI, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au sabato.

17 mambo ya namna hiyo ni kivuli cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye kristo.

18 msikubali kuhukumiwa na mtu anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee…."

Luka 7:31-35
"31 Yesu akaendelea kusema, "Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

32 Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine:
'Tumewapigieni ngoma lakini hamkucheza!
Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!'

33 Kwa maana Yohane alikuja, akawa anafunga na hakunywa divai, nanyi mkasema: 'Amepagawa na pepo!'

34 Naye mwana wa Mtu amekuja anakula na kunywa, nanyi mkasema:
'Mwangalieni mlafi huyu na mlevi; rafiki ya watoza ushuru na wenye dhambi!'

35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali."

#Note; mvyinyo itumike kwa kiasi, kama huwezi kutumia kwa kiasi, ni afadhali kuacha kabisa.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alice Mwikali (Guest) on June 16, 2024

Rehema zake hudumu milele

Grace Mushi (Guest) on February 9, 2024

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Ruth Mtangi (Guest) on January 3, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Stephen Malecela (Guest) on October 20, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Joyce Mussa (Guest) on August 4, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Stephen Mushi (Guest) on March 28, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Kidata (Guest) on January 18, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Grace Wairimu (Guest) on December 25, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ann Awino (Guest) on June 5, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Agnes Sumaye (Guest) on April 17, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Lucy Wangui (Guest) on September 22, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Charles Wafula (Guest) on August 18, 2021

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Janet Sumaye (Guest) on August 14, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ann Awino (Guest) on May 14, 2021

Nakuombea 🙏

Patrick Kidata (Guest) on October 3, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Chris Okello (Guest) on September 19, 2020

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Simon Kiprono (Guest) on September 16, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Minja (Guest) on June 28, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Alice Wanjiru (Guest) on May 29, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Josephine Nekesa (Guest) on April 5, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Charles Mboje (Guest) on February 25, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Catherine Naliaka (Guest) on December 25, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Diana Mallya (Guest) on December 15, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Victor Malima (Guest) on November 14, 2019

Endelea kuwa na imani!

Grace Mligo (Guest) on July 30, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Sokoine (Guest) on May 2, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Anna Kibwana (Guest) on April 21, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Peter Mbise (Guest) on February 20, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Dorothy Nkya (Guest) on February 5, 2019

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Grace Njuguna (Guest) on November 12, 2018

Sifa kwa Bwana!

Patrick Kidata (Guest) on August 7, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Njeri (Guest) on July 5, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Ruth Wanjiku (Guest) on May 18, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Mwambui (Guest) on December 20, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Elizabeth Mtei (Guest) on November 13, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Patrick Akech (Guest) on July 26, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joyce Nkya (Guest) on June 26, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Henry Mollel (Guest) on March 17, 2017

Mungu akubariki!

Mary Njeri (Guest) on February 19, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Margaret Anyango (Guest) on December 24, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Grace Majaliwa (Guest) on October 8, 2016

Dumu katika Bwana.

Tabitha Okumu (Guest) on October 7, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jane Malecela (Guest) on July 27, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Samson Tibaijuka (Guest) on April 22, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Francis Mtangi (Guest) on March 30, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Alice Jebet (Guest) on March 25, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

James Malima (Guest) on January 23, 2016

Rehema hushinda hukumu

Stephen Kangethe (Guest) on December 27, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Moses Mwita (Guest) on July 12, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Alice Jebet (Guest) on June 15, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Kanisa Katoliki ni moja kati ya makanisa makubwa duniani ambayo yamejikita katika kufundisha na k... Read More

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

  1. Kama Wakristo, tunajua kwamba Mungu ... Read More

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Mata... Read More

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kila mmoja wetu amewahi kufany... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na ama... Read More

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Read More
Ishara ya Msalaba

Ishara ya Msalaba

Read More
Je, Kanisa Katoliki linaheshimu  Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria? Ndio! Katika Kanisa Katoliki, Bikira Maria ni muhimu s... Read More
Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #A... Read More

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Read More
Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio maha... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu ... Read More