Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Featured Image

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio mahali pa kupunguzia shida. Ndoa sio mbadala wa elimu na michakato ya kimaisha. Huolewi ili kupunguza adha za maisha. NDOA ni jukumu zito kuliko hata kusoma masters degree ya Neuro-surgeon. Wengi hamjaweza kumudu maisha yenu binafsi na bado mnalilia Mungu kuwaongezea jukumu la kumeneji maisha ya mtu mwingine.

Kama huwezi hata kujitafutia hela ya kusuka nywele zako utawezaje kuendesha maisha ya familia. Maana unaweza kuolewa na mwanaume mwenye pesa lakini akapitia mithihani pesa zikatoweka utafanyaje kama huna akili ya kujiongeza? Ndio maana wengi mnawakataa watu wenye Ndoto lakini hawanapesa kwa sasa kwa sababu ya akili ya utegemezi. Unataka mwanaume mwenye kila kitu, sababu kubwa ni uvivu na uzembe. Hutaki kujitafutia vya kwako.
Ukisoma MITHALI 31 inaeleza habari za MKE MWEMA.

Hapo ndio pa kujipima je unakidhi hivyo viwango? Mke mwema sio tegemezi ila ni mwanamke mwenye uhuru wa kifedha (Financial Freedom). JIULIZE TU KAMA IKITOKEA HUJAOLEWA MIAKA MITANO IJAYO UTAKUWAJE? MAISHA YAKO YATAKUWAJE? UTAKUWA NA HALI GANI? Maswali kama haya yatakusaidia kujiongeza. Tafuta kitu cha kufanya hata kama Ndoa isipotokea leo isiwe mwisho wa maisha, Ndoto na maono yako. Siku hizi wanaume hawaulizi ukoo wanauliza UNAFANYA NINI?

Mtu anapiga hesabu akikuoa mkaunganisha nguvu mtafanya nini kwenye maisha. Sasa wewe kalia kubandika kope na kuchora kucha kutwa nzima huna shughuli ya kufanya huku ukingoja kuombewa upate Mume. Watu hawaoi mapambo wanataka Wake watakao tengeneza nao hatma zao. Pambo ni kwaajili ya Starehe lakini MKE ni kwaajili ya maisha. Sikupondi wala sio nia yangu kukuvunja moyo, nataka utoke hapo ulipo ujiongeze ili hata ukiingia kwenye Ndoa isijae visa na kuonewa. Pesa itakupa heshima, pesa inakupa sauti, hata Wakwe zako hawawezi kukunyanyasa ukiwa na pesa kwani wanajua watakosa vitenge.

Nataka nikwambie kweli, ukiwa na hela utachagua mwanaume wa kukuoa kwani wapo wengi ila kama umefulia, tegemezi kweli utaona wanaume ni wachache. Pata kitu cha kufanya, tengeneza milango ya kipato. Badala ya kukesha unaomba Mungu akupe Mume anza kuomba Mungu akupe uhuru wa kifedha, kama itakubidi kurudi shule rudi tu. Jiongeze usibaki hapo ulipo. Ni Yesu peke yake asiyebadilika (Hebrania 13) Lakini wanadamu wote lazima tubadilike kila kukicha tukihama hatua moja kwenda nyingine.

Mungu akufungue macho kuona kiini cha ujumbe huu na lengoF lake na wala usichukuliwe na upepo wa adui upindishao maana katika jumbe zenye kubadilisha maisha kama hii.

Kuolewa sio mwisho wa maisha, Mungu kwanza achukue nafasi kwenye maisha yako na akupe utoshelevu katika moyo wako kiasi kwamba uone hata bila Mume unaweza kuishi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Waithera (Guest) on May 19, 2024

Mungu akubariki!

Betty Kimaro (Guest) on March 6, 2024

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joy Wacera (Guest) on March 5, 2024

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Joyce Aoko (Guest) on February 18, 2024

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Lucy Mushi (Guest) on October 20, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Carol Nyakio (Guest) on October 9, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Moses Kipkemboi (Guest) on September 3, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Raphael Okoth (Guest) on August 26, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Isaac Kiptoo (Guest) on August 14, 2023

Sifa kwa Bwana!

Betty Kimaro (Guest) on June 10, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Joseph Kitine (Guest) on May 8, 2023

Endelea kuwa na imani!

David Chacha (Guest) on February 11, 2023

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Lissu (Guest) on February 1, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Ruth Wanjiku (Guest) on November 18, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Anthony Kariuki (Guest) on October 3, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lydia Mahiga (Guest) on June 9, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Waithera (Guest) on May 4, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

David Sokoine (Guest) on March 12, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Ruth Wanjiku (Guest) on January 20, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Edith Cherotich (Guest) on November 15, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

James Malima (Guest) on September 9, 2021

Nakuombea 🙏

Patrick Kidata (Guest) on September 3, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Victor Kamau (Guest) on August 10, 2021

Rehema zake hudumu milele

Anna Mahiga (Guest) on July 26, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Monica Nyalandu (Guest) on April 14, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

David Musyoka (Guest) on March 10, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Sarah Achieng (Guest) on January 8, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Ruth Wanjiku (Guest) on September 27, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Patrick Kidata (Guest) on September 7, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on May 20, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jackson Makori (Guest) on March 13, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Kibwana (Guest) on December 29, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Henry Mollel (Guest) on December 1, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Edith Cherotich (Guest) on May 16, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Samuel Were (Guest) on December 16, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Rose Amukowa (Guest) on April 9, 2018

Neema na amani iwe nawe.

George Mallya (Guest) on October 5, 2017

Rehema hushinda hukumu

Mary Njeri (Guest) on June 11, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Joseph Kawawa (Guest) on March 10, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 8, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Tabitha Okumu (Guest) on September 2, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Samson Mahiga (Guest) on August 16, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Wafula (Guest) on May 23, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Josephine Nekesa (Guest) on April 4, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Alice Mwikali (Guest) on February 29, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

James Mduma (Guest) on February 18, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

George Wanjala (Guest) on January 5, 2016

Dumu katika Bwana.

Sarah Achieng (Guest) on August 12, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Karibu kwa Ibada ya Novena ya ... Read More

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

  1. Kama Wakristo, tunajua kwamba Mungu ... Read More

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Ukombozi katika Kila Hali

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Ukombozi katika Kila Hali

Huruma ya Mungu: Ulinzi na Ukombozi katika Kila Hali

Hakuna kitu cha thamani zaidi kuliko ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Salaam wapenzi wa Kristo! Leo tunajadili swali muhimu sana kuhusu imani yetu ya kikatoliki. Je, K... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofa... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Bikira Maria kuwa Mama wa Mungu?

Jibu ni ndiyo! Kanisa Kat... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ekaristi?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ekaristi?

Sakramenti ya Ekaristi ni moja kati ya sakramenti saba zinazoheshimiwa na Kanisa Katoliki. Kwa mu... Read More

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu dini na dini nyingine?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu dini na dini nyingine?

Kanisa Katoliki ni mojawapo ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo ulimwenguni. Imani yake ina msi... Read More

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Read More
Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa familia na ndoa katika maisha ya Kikristo... Read More

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Katika kila Jumapili, ... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact