Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Mungu yupo kwa ajili yako

Featured Image

Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka kuwa Mungu yupo, anayaona hayo na anataka kukusaidia, ni wewe tuu kumpa nafasi ya kukusaidia. Hatumpi Mungu nafasi pale tunapozani tunaweza wenyewe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Bernard Oduor (Guest) on April 21, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Jane Malecela (Guest) on February 27, 2024

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Stephen Mushi (Guest) on February 21, 2024

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Josephine Nekesa (Guest) on January 18, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Paul Ndomba (Guest) on December 14, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mahiga (Guest) on June 26, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Linda Karimi (Guest) on May 21, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Esther Cheruiyot (Guest) on November 20, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Michael Onyango (Guest) on November 4, 2022

Endelea kuwa na imani!

Joseph Mallya (Guest) on June 28, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mahiga (Guest) on March 16, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 5, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

John Kamande (Guest) on September 28, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

John Mushi (Guest) on August 21, 2021

Rehema hushinda hukumu

Joyce Aoko (Guest) on August 13, 2021

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Esther Nyambura (Guest) on March 13, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

George Wanjala (Guest) on December 22, 2020

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kiwanga (Guest) on December 3, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Vincent Mwangangi (Guest) on November 18, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Joseph Kawawa (Guest) on July 20, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Mwikali (Guest) on March 14, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

John Lissu (Guest) on February 7, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Wilson Ombati (Guest) on January 11, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Chacha (Guest) on August 4, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Victor Kamau (Guest) on June 2, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Edith Cherotich (Guest) on April 26, 2019

Dumu katika Bwana.

Betty Akinyi (Guest) on April 3, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Monica Lissu (Guest) on January 24, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 13, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Andrew Mahiga (Guest) on June 23, 2018

Sifa kwa Bwana!

Rose Waithera (Guest) on June 14, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Sumaye (Guest) on February 15, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Jacob Kiplangat (Guest) on January 24, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Grace Wairimu (Guest) on January 23, 2018

Nakuombea 🙏

Linda Karimi (Guest) on November 18, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Mary Njeri (Guest) on October 19, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Paul Kamau (Guest) on August 7, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Fredrick Mutiso (Guest) on May 5, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

David Sokoine (Guest) on March 11, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

James Kawawa (Guest) on February 14, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 14, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

James Kimani (Guest) on February 5, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Victor Kamau (Guest) on August 13, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nancy Kawawa (Guest) on June 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lydia Mahiga (Guest) on May 31, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Anna Malela (Guest) on April 23, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Agnes Njeri (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake hudumu milele

Lydia Mahiga (Guest) on August 9, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alice Mrema (Guest) on April 27, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Betty Akinyi (Guest) on April 21, 2015

Mungu akubariki!

Related Posts

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu kama hajichukii yeye mwenyewe na wale wanaomzunguka. Huwezi ku... Read More

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ndio njia pekee ya kumrudia Mungu. Toba ya kweli ndiyo iletayo maondoleo ya dhambi. Ukiond... Read More

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako kila siku. Anasubiri sala zako akujibu ili uone utukufu wake. Anasubiri... Read More

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni ... Read More

Upendo na ubinafsi

Upendo na ubinafsi

Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.

... Read More
Sala ni chakula cha roho

Sala ni chakula cha roho

Sala ni kama chakula cha Roho, Bila sala roho inakufa. Tusali daima ili roho zetu ziwe hai siku z... Read More

Sala ni kuongea na Mungu

Sala ni kuongea na Mungu

Jifunze na jijengea tabia ya kumsikiliza Mungu rohoni mwako unaposali. Sala ni mazungumzo ya Mung... Read More

Kutubu na Kusamehewa dhambi

Kutubu na Kusamehewa dhambi

Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma... Read More

Sali daima

Sali daima

Kama mtu anasali kila siku katika maisha yake hakuna kitu kitakachokuwa kigumu. Sala ni njia ya k... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact