Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Mungu ni Mwaminifu

Featured Image

Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwake. Tunaposali leo Mungu anatusikia na kujibu leo, kesho au hata miaka kumi ijayo. Inawezekana hata baraka zako za leo ni majibu ya Sala zako miaka kumi iliyopita. Sali bila kuchoka kwani hujui Sala zako zitakusaidia lini. Usitegemee majibu ya Sala zako wakati huo huo, amini katika uaminifu wa Mungu kwani anajua lini ni siku sahii ya kukujibu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Tibaijuka (Guest) on April 27, 2024

Tembea kwa imani, si kwa kuona

John Mushi (Guest) on September 3, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Mercy Atieno (Guest) on August 22, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Dorothy Nkya (Guest) on August 14, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kawawa (Guest) on July 28, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Nyerere (Guest) on July 15, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

David Nyerere (Guest) on July 10, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Ann Wambui (Guest) on July 7, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Alice Mwikali (Guest) on June 20, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Sokoine (Guest) on June 4, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Violet Mumo (Guest) on February 22, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Rose Waithera (Guest) on January 31, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Joseph Kiwanga (Guest) on July 9, 2022

Rehema zake hudumu milele

Edward Lowassa (Guest) on May 26, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Minja (Guest) on May 21, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Grace Njuguna (Guest) on April 20, 2022

Nakuombea 🙏

Betty Cheruiyot (Guest) on March 31, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Aoko (Guest) on March 23, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Brian Karanja (Guest) on January 15, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Janet Mwikali (Guest) on October 30, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mariam Hassan (Guest) on September 28, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Kawawa (Guest) on July 12, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Chacha (Guest) on April 25, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

John Mushi (Guest) on January 7, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2020

Dumu katika Bwana.

John Malisa (Guest) on June 29, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ann Awino (Guest) on April 14, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Mercy Atieno (Guest) on February 10, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

John Lissu (Guest) on September 10, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Diana Mumbua (Guest) on February 23, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Joy Wacera (Guest) on November 16, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Paul Kamau (Guest) on August 27, 2018

Sifa kwa Bwana!

Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Alice Mwikali (Guest) on June 3, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Philip Nyaga (Guest) on May 20, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Grace Njuguna (Guest) on April 6, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Esther Nyambura (Guest) on March 14, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Paul Kamau (Guest) on January 13, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 6, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Frank Sokoine (Guest) on October 23, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Rose Mwinuka (Guest) on September 19, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Rose Amukowa (Guest) on August 31, 2017

Rehema hushinda hukumu

Charles Mboje (Guest) on February 23, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Monica Adhiambo (Guest) on December 12, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joy Wacera (Guest) on October 30, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Joseph Mallya (Guest) on October 15, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Dorothy Nkya (Guest) on October 5, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Henry Mollel (Guest) on March 7, 2016

Mungu akubariki!

Irene Makena (Guest) on February 5, 2016

Endelea kuwa na imani!

Related Posts

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.

... Read More
Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi

Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi

Wakati wazazi waliweza kuaamua kuzaa mtoto tuu, Mungu yeye alikuchagua wewe utungwe mimba na kuku... Read More

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu

Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na M... Read More

Upendo na chuki havitangamani

Upendo na chuki havitangamani

Upendo wa kweli hauambatani na chuki. Huwezi kusema una Upendo wakati kuna watu wengine unawapend... Read More

Upendo wa KiMungu

Upendo wa KiMungu

Huwezi kusema unampenda Mungu usiyemuona kama huwapendi watu wale unaowaona. Mpende jirani yako k... Read More

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea mbele ya Mungu. Kwa kuwa kwa Mungu hakuna kusema, 'K... Read More

Jambo la muhimu zaidi Duniani

Jambo la muhimu zaidi Duniani

Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa ... Read More

Uwe na maono

Uwe na maono

Uwe na maono au ndoto ya mambo unayotaka kufanya maishani naye Mungu atakubariki na kujidhihirish... Read More

Sala ni Upendo

Sala ni Upendo

Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo li... Read More

Mungu ni mwenye Huruma

Mungu ni mwenye Huruma

Mungu ni mwenye Huruma na Upendo na Anataka watu wote waokolewe naye. Mungu hayupo kwa ajili ya k... Read More

Sala ni chakula cha roho

Sala ni chakula cha roho

Sala ni kama chakula cha Roho, Bila sala roho inakufa. Tusali daima ili roho zetu ziwe hai siku z... Read More

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu hauna kikomo. Mama anaweza kumchoka na kumtelekeza mwanae lakini Mungu kamwe hamc... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact