Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi

Featured Image

Wakati wazazi waliweza kuaamua kuzaa mtoto tuu, Mungu yeye alikuchagua wewe utungwe mimba na kukulinda ungali tumboni mwa mama yako….Wakati wazazi wanasubiri kwa shauku kuona muonekano wako wewe, Mungu anawaweka wajukuu wa wazazi wako/ watoto wako ndani mwako…. Wakati wazazi wakitafuta chakula kwa ajili yako, Mungu yeye aliwawezesha kukipata…. Wakati wazazi wakingoja kuona unavyoendelea kukua huku wakiwaza hatima ya maisha yako Mungu anakuendeleza na alishapanga maisha yako tangu alipokuchagua uwe mtu ukiwa tumboni mwa mama yako…. Wazazi wanaweza kukuombea kwa Mungu lakini Mungu ndiye anayeamua akufanyie nini maana Wewe ni wa kwake….Wewe na wazazi wako ni watoto wa Baba mmoja ambaye ndiye Mungu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Muthoni (Guest) on December 26, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Susan Wangari (Guest) on September 30, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Lydia Wanyama (Guest) on May 23, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Grace Mushi (Guest) on April 4, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Robert Ndunguru (Guest) on September 16, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alice Mrema (Guest) on August 11, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Martin Otieno (Guest) on July 17, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Nancy Kabura (Guest) on July 14, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

David Sokoine (Guest) on February 18, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Francis Njeru (Guest) on January 16, 2022

Nguvu hutoka kwa Bwana

Miriam Mchome (Guest) on January 3, 2022

Rehema hushinda hukumu

Peter Mugendi (Guest) on July 27, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Mutua (Guest) on July 22, 2021

Mungu akubariki!

Mercy Atieno (Guest) on July 25, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Andrew Odhiambo (Guest) on May 12, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nora Lowassa (Guest) on February 26, 2020

Endelea kuwa na imani!

Charles Wafula (Guest) on February 10, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Esther Cheruiyot (Guest) on November 25, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Agnes Sumaye (Guest) on August 6, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on July 26, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Charles Mchome (Guest) on June 23, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Janet Mwikali (Guest) on March 8, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Catherine Mkumbo (Guest) on January 4, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Grace Njuguna (Guest) on October 27, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on October 4, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mariam Hassan (Guest) on September 20, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Edwin Ndambuki (Guest) on September 4, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lydia Wanyama (Guest) on September 1, 2018

Dumu katika Bwana.

Edward Chepkoech (Guest) on June 7, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Chris Okello (Guest) on May 26, 2018

Rehema zake hudumu milele

Victor Kamau (Guest) on May 14, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Grace Mushi (Guest) on January 18, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Patrick Akech (Guest) on November 13, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Irene Makena (Guest) on June 25, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

John Lissu (Guest) on May 8, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lucy Wangui (Guest) on March 31, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Mary Kidata (Guest) on March 29, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Elizabeth Mtei (Guest) on January 5, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Mwikali (Guest) on January 1, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Edward Lowassa (Guest) on September 26, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Robert Ndunguru (Guest) on July 15, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Charles Wafula (Guest) on July 3, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Richard Mulwa (Guest) on June 7, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lucy Mushi (Guest) on March 27, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

John Lissu (Guest) on February 3, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

James Kimani (Guest) on January 2, 2016

Nakuombea πŸ™

Lydia Wanyama (Guest) on November 22, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Mwinuka (Guest) on November 2, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Elizabeth Mrema (Guest) on June 19, 2015

Sifa kwa Bwana!

Peter Mwambui (Guest) on April 28, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Related Posts

Sala sio maneno tuu

Sala sio maneno tuu

Sala siyo maneno mazuri, bali sala ni NIA ya Upendo iliyobebwa na maneno mazuri. Tusali kwa kunui... Read More

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni juk... Read More

Makusudi ya Mungu kwa Kila Binadamu

Makusudi ya Mungu kwa Kila Binadamu

Ni jambo jema kusamehe... Read More

Toba, msamaha na Baraka

Toba, msamaha na Baraka

Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiw... Read More

Mwenendo Unaongozwa na Roho Mtakatifu

Mwenendo Unaongozwa na Roho Mtakatifu