Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

Kanuni ya imani
Date: December 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza
Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

SALA YA KUTUBU
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI
Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ...
Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More
Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017
🙏💖 Nakusihi Mungu
Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017
🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu
Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017
Sifa kwa Bwana!
Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017
🙏🙏🙏
Robert Okello (Guest) on November 3, 2016
🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike
Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
George Tenga (Guest) on October 20, 2016
🙏💖💫 Mungu ni mwema
Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016
🙏🙏🙏
Chris Okello (Guest) on January 3, 2016
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015
🙏❤️ Mungu akubariki
Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015
Mungu akubariki!
Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu