Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Sala ya Medali ya Mwujiza

Featured Image

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na wale wasioukimbilia kwako, hasa maadui wa Kanisa Takatifu, na wale waliokabidhiwa kwako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Malisa (Guest) on December 13, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Mercy Atieno (Guest) on September 21, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on June 23, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

David Chacha (Guest) on May 27, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Samuel Were (Guest) on March 10, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Isaac Kiptoo (Guest) on March 9, 2017

Sifa kwa Bwana!

Patrick Kidata (Guest) on December 9, 2016

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Mugendi (Guest) on December 3, 2016

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Carol Nyakio (Guest) on November 27, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Anna Mahiga (Guest) on November 18, 2016

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

George Tenga (Guest) on October 7, 2016

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Andrew Mahiga (Guest) on September 28, 2016

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

David Sokoine (Guest) on July 21, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Dorothy Nkya (Guest) on July 19, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Edward Lowassa (Guest) on May 7, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lydia Mutheu (Guest) on May 4, 2016

Amina

Isaac Kiptoo (Guest) on January 25, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Patrick Mutua (Guest) on November 25, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

George Tenga (Guest) on November 16, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Samson Mahiga (Guest) on November 6, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nora Kidata (Guest) on August 25, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Diana Mumbua (Guest) on July 26, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Rose Amukowa (Guest) on July 3, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact