Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Featured Image
NIFUNGE NINI?
Funga huzuni upate furaha,
Funga ulabu upate siha,
Funga majivuno upata utukufu,
Funga uzinzi upate wongofu,
Funga kisirani upate utakatifu,

Funga umbea upate fanaka,
Funga wivu upata baraka,
Funga unafiki upate uchaji,
Funga kinyongo upate faraja,
Funga kwaresima wakati ni huu

Funga kiburi ujazwe hekima,
Funga jeuri ujawe rehema,
Funga hofu ujazwe imani,
Funga kinywani ujazwe moyoni,
Funga kisirani ujazwe rohoni,
Funga dharau ujazwe heshima,
Funga majungu, ujazwe neema,
Funga usiri ujawe wafuasi,
Funga tamaa ujazwe kiasi,
Funga kwaresima wakati ni huu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Malima (Guest) on July 4, 2024

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Robert Ndunguru (Guest) on March 25, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Benjamin Kibicho (Guest) on November 19, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Bernard Oduor (Guest) on September 19, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Dorothy Nkya (Guest) on September 5, 2023

Nakuombea 🙏

Alice Mwikali (Guest) on April 22, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anthony Kariuki (Guest) on April 19, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Joyce Nkya (Guest) on December 31, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Samuel Were (Guest) on December 20, 2022

Rehema zake hudumu milele

Catherine Naliaka (Guest) on November 29, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Alice Wanjiru (Guest) on June 9, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Kawawa (Guest) on January 26, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 17, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on October 12, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jackson Makori (Guest) on October 10, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Betty Cheruiyot (Guest) on September 5, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Alex Nyamweya (Guest) on November 4, 2020

Mwamini katika mpango wake.

John Malisa (Guest) on October 4, 2020

Rehema hushinda hukumu

Edward Chepkoech (Guest) on July 20, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joyce Nkya (Guest) on July 11, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Susan Wangari (Guest) on May 29, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Peter Mbise (Guest) on March 10, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Francis Njeru (Guest) on March 9, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Esther Nyambura (Guest) on November 17, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Rose Mwinuka (Guest) on September 23, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Sarah Achieng (Guest) on July 24, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anna Kibwana (Guest) on July 6, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Elizabeth Mrope (Guest) on May 31, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Andrew Odhiambo (Guest) on February 2, 2019

Mungu akubariki!

Jackson Makori (Guest) on December 15, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Wanjiru (Guest) on November 10, 2018

Sifa kwa Bwana!

Catherine Naliaka (Guest) on November 3, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Kamande (Guest) on October 18, 2018

Dumu katika Bwana.

Patrick Mutua (Guest) on April 4, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Anna Sumari (Guest) on February 2, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on October 16, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Robert Okello (Guest) on August 27, 2017

Endelea kuwa na imani!

Martin Otieno (Guest) on July 15, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Peter Mwambui (Guest) on June 10, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Jackson Makori (Guest) on March 6, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Victor Mwalimu (Guest) on March 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Diana Mallya (Guest) on February 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Mariam Kawawa (Guest) on February 3, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Carol Nyakio (Guest) on September 18, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jacob Kiplangat (Guest) on August 15, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Francis Njeru (Guest) on November 1, 2015

Neema na amani iwe nawe.

John Mushi (Guest) on October 8, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Victor Kimario (Guest) on August 22, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Karibu kwa maelezo ya Ibada ya Huru... Read More

27. Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Daraja Takatifu?

27. Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Daraja Takatifu?

Kwa wale ambao wamechagua njia ya Kikatoliki katika maisha yao, kanisa linaamini kuwa sakramenti ... Read More

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Read More
Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Kuimarisha Imani Yako na Masomo ya Misa ya Jumapili ya Dominika

Imani ni nguvu yenye uwezo... Read More

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu.

Ndugu yangu, Ibada ya Huruma ya Mu... Read More

Ijue Ishara ya Msalaba

Ijue Ishara ya Msalaba

Read More
Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ekaristi Takatifu kuwa Mwili na Damu ya Yesu Kristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ekaristi Takatifu kuwa Mwili na Damu ya Yesu Kristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ekaristi Takatifu kuwa Mwili na Damu ya Yesu Kristo?... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Katoliki ni dini inayoheshimu na kufundisha thamani ya maisha ya binadamu. Kanisa Katoliki linafu... Read More

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingin... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili? Ji... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Katika Kanisa Katoliki, toba na wongofu ni sehemu muhimu ya maisha ya Kikristo. Imani yetu inatuf... Read More

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

  1. Kama Wakatoliki, tunaamini sana ka... Read More