Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Featured Image
Rejea Luka 14:7-24 na Luka 18 :9-18
Mungu anakawaida ya kumkweza yoyote ajishushaye na kumshusha yule ajikwezaye. Vile unavyojiona bora mbele ya Mungu na mbele ya watu ndivyo na Mungu anatakavyokuonyesha kuwa wewe sio bora au wewe sio zaidi ya wengine.

Madhara ya Kujikweza au majivuno

1. Sala zako hazitajibiwa kwa kuwa mara zote nia ya sala zako zitakua ni za kujitakia makuu.
2. Kusahau nafasi ya Mungu katika maisha yako na kuhisi unajitosheleza kwa yote.
3.Kusahau nafasi na umuhimu wa wengine kwa kuhisi kuwa hawana thamani kama wewe.

Dalili za Kujikweza au majivuno

1.Kutaka au kupenda kuwa na nafasi ya kwanza kwenye kila kitu.
2. Kukosa uvumilivu
3. Kuwa na hofu ya kushindwa na kufedheheshwa
4.Kukosa upendo na kujali kwa wengine
5. Kupungua imani kwa Mungu. Yani kuhisi kama Mungu anaweza kufanya au hawezi.
6. Kupungua ukaribu wako kwa Mungu.
7.Kutokupenda kusali /kuomba Mungu.

Dawa ya majivuno au jinsi ya kujishusha

1.Kujifunza unyenyekevu.
2.Kujifunza upendo wa kweli kwa Mungu na wengine.
3. Jifunze kuwaombea wengine. Hii itasaidia kujenga unyenyekevu.
4. Kujifunza kuridhika
5. Jifunze kufurahia mafanikio ya wengine.
6. Usiwe muongeaji sana na mchunguzi wa mambo ya watu sana.



AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Wairimu (Guest) on May 14, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Kevin Maina (Guest) on May 6, 2024

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Faith Kariuki (Guest) on June 7, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Edith Cherotich (Guest) on May 21, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Patrick Kidata (Guest) on February 20, 2023

Dumu katika Bwana.

Nancy Kawawa (Guest) on January 16, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Jane Malecela (Guest) on November 6, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Sarah Karani (Guest) on October 24, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anthony Kariuki (Guest) on July 9, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Joy Wacera (Guest) on July 1, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Peter Mwambui (Guest) on May 25, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Alice Mrema (Guest) on May 23, 2022

Rehema hushinda hukumu

Susan Wangari (Guest) on January 1, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Victor Kimario (Guest) on October 8, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

James Mduma (Guest) on October 5, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Wambura (Guest) on September 26, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Emily Chepngeno (Guest) on September 12, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Patrick Akech (Guest) on August 21, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Francis Mrope (Guest) on August 17, 2021

Baraka kwako na familia yako.

Ruth Wanjiku (Guest) on December 2, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jacob Kiplangat (Guest) on May 6, 2020

Endelea kuwa na imani!

Monica Nyalandu (Guest) on April 11, 2020

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Monica Adhiambo (Guest) on January 13, 2020

Katika imani, yote yanawezekana

Henry Sokoine (Guest) on December 8, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Victor Malima (Guest) on October 29, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Peter Mwambui (Guest) on June 5, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Margaret Mahiga (Guest) on February 4, 2019

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Dorothy Nkya (Guest) on January 28, 2019

Rehema zake hudumu milele

Catherine Mkumbo (Guest) on December 3, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Catherine Mkumbo (Guest) on October 29, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Nora Lowassa (Guest) on September 2, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Agnes Njeri (Guest) on August 29, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Victor Kamau (Guest) on November 20, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Anna Sumari (Guest) on October 31, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Charles Mboje (Guest) on September 13, 2017

Sifa kwa Bwana!

Nancy Komba (Guest) on July 22, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Agnes Sumaye (Guest) on May 27, 2017

Mungu akubariki!

Esther Nyambura (Guest) on April 15, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Miriam Mchome (Guest) on April 6, 2017

Nakuombea 🙏

Ruth Kibona (Guest) on December 14, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Agnes Njeri (Guest) on November 1, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alice Jebet (Guest) on October 15, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Benjamin Kibicho (Guest) on October 6, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Kibicho (Guest) on September 2, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Alex Nyamweya (Guest) on September 1, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on July 31, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Tabitha Okumu (Guest) on May 31, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Brian Karanja (Guest) on September 14, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Hellen Nduta (Guest) on June 13, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on May 19, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii?

Kanisa Katoliki limekuwa likitetea uadilifu wa kijamii na tofauti za kijamii kama sehemu ya imani... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?... Read More

Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?

Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?

Read More

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Read More
Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na ama... Read More

Namna Biblia inavyomueleza Bikira Maria

Namna Biblia inavyomueleza Bikira Maria

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya kuwa mtakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya kuwa mtakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya kuwa mtakatifu? Hili ni swali muhimu sana kwa w... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu umoja wa Kanisa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu umoja wa Kanisa?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa ya Kikristo duniani. Imani yake kuhusu umoja wa Kani... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kusamehe na kupokea msamaha katika maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kusamehe na kupokea msamaha katika maisha ya Kikristo?

Neno la Mungu linatufundisha kuhusu msamaha na upendo, ndiyo maana Kanisa Katoliki linahubiri na ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Sakramenti ya Ubatizo ni mojawapo ya mambo muhimu sana katika Kanisa Katoliki. Ubatizo unakusudia... Read More

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Read More
Je, Kanisa Katoliki linaheshimu  Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria? Ndio! Katika Kanisa Katoliki, Bikira Maria ni muhimu s... Read More