Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Novena ya Noeli

Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ann Wambui (Guest) on July 13, 2024

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Betty Akinyi (Guest) on July 12, 2024

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kiwanga (Guest) on April 6, 2024

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

Anthony Kariuki (Guest) on March 5, 2024

🙏🌟 Mungu akujalie amani

Sharon Kibiru (Guest) on October 15, 2023

Rehema zake hudumu milele

George Mallya (Guest) on July 29, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

James Malima (Guest) on June 27, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Mariam Hassan (Guest) on June 15, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Irene Makena (Guest) on May 31, 2023

Dumu katika Bwana.

Chris Okello (Guest) on May 19, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ann Awino (Guest) on May 1, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Jane Malecela (Guest) on December 27, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Anna Kibwana (Guest) on December 25, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Betty Kimaro (Guest) on December 2, 2022

🙏✨ Mungu atakuinua

Nancy Komba (Guest) on November 17, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2022

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Patrick Kidata (Guest) on September 25, 2022

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Carol Nyakio (Guest) on September 12, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Mushi (Guest) on September 9, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

James Kawawa (Guest) on July 21, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Michael Onyango (Guest) on June 26, 2022

Rehema hushinda hukumu

Betty Kimaro (Guest) on March 21, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Charles Mrope (Guest) on December 17, 2021

🙏🌟 Mungu alete amani

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2021

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Elijah Mutua (Guest) on August 6, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Nyalandu (Guest) on July 19, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joyce Nkya (Guest) on June 5, 2021

Mungu akubariki!

James Mduma (Guest) on May 27, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Lucy Kimotho (Guest) on May 8, 2021

🙏🙏🙏

Janet Sumaye (Guest) on April 11, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Elizabeth Malima (Guest) on March 6, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Charles Wafula (Guest) on March 5, 2021

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Irene Akoth (Guest) on January 22, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Nancy Kawawa (Guest) on January 4, 2021

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Diana Mallya (Guest) on December 28, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Ruth Wanjiku (Guest) on December 25, 2020

🙏💖 Nakusihi Mungu

Michael Onyango (Guest) on December 13, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2020

Nakuombea 🙏

Agnes Lowassa (Guest) on November 27, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Musyoka (Guest) on November 16, 2020

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Kevin Maina (Guest) on September 10, 2020

🙏🌟 Neema za Mungu zisikose

Nancy Akumu (Guest) on August 31, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mahiga (Guest) on August 2, 2020

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Joseph Kawawa (Guest) on May 27, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Linda Karimi (Guest) on May 8, 2020

Amina

Lucy Mushi (Guest) on April 3, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Mboje (Guest) on February 1, 2020

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Mariam Kawawa (Guest) on December 27, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Jane Muthui (Guest) on July 17, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Christopher Oloo (Guest) on May 2, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Martin Otieno (Guest) on February 16, 2019

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Henry Sokoine (Guest) on February 7, 2019

Endelea kuwa na imani!

Moses Mwita (Guest) on January 20, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Francis Mtangi (Guest) on October 25, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Mushi (Guest) on October 8, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Betty Kimaro (Guest) on August 1, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Moses Mwita (Guest) on July 12, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Grace Minja (Guest) on April 22, 2018

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Elizabeth Mtei (Guest) on December 22, 2017

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Related Posts

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)