Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. Asaliye daima hujazwa neema na fadhila.

Sala ni chimbuko la Fadhila
Date: March 20, 2022
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Sifa za Sala yeyote
Sala yoyote ili iwe SALA lazima itolewe kwa Imani, Upendo, Unyenyekevu na kwa Matumaini. Sala kam... Read More

Upendo wa KiMungu
Huwezi kusema unampenda Mungu usiyemuona kama huwapendi watu wale unaowaona. Mpende jirani yako k... Read More

Furaha ya Binadamu
Kufanya Mambo mema ndipo kunaleta furaha ya kweli kwa Binadamu yeyote yule. Hakuna Binadamu anaye... Read More

Mungu yupo kwa ajili yako
Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka... Read More

Upendo wa Mungu hauna mwisho
Upendo wa Mungu hauna mwisho. Mtu anaweza akaacha kukupenda na kukusahau kabisa lakini kamwe Mung... Read More

Uwe na maono
Uwe na maono au ndoto ya mambo unayotaka kufanya maishani naye Mungu atakubariki na kujidhihirish... Read More

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso
Mawazo ya Mungu ni makuu. Mungu anatuwazia mema daima. Hata unapopitia shida na matatizo katika m... Read More

Upendo na ubinafsi
Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea
Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea mbele ya Mungu. Kwa kuwa kwa Mungu hakuna kusema, 'K... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi
Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Uwepo wa Mungu wakati wa shida
Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Sala ni chakula cha roho
Sala ni kama chakula cha Roho, Bila sala roho inakufa. Tusali daima ili roho zetu ziwe hai siku z... Read More
Hellen Nduta (Guest) on July 19, 2024
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
John Mushi (Guest) on June 4, 2024
Imani inaweza kusogeza milima
Benjamin Masanja (Guest) on February 9, 2024
Mungu ni mwema, wakati wote!
Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Mary Kendi (Guest) on November 3, 2023
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Edwin Ndambuki (Guest) on August 26, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Elizabeth Mrope (Guest) on May 22, 2023
Rehema hushinda hukumu
Alice Mwikali (Guest) on May 3, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Peter Otieno (Guest) on May 2, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Betty Cheruiyot (Guest) on February 21, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
Nicholas Wanjohi (Guest) on January 30, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Peter Mwambui (Guest) on September 19, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Martin Otieno (Guest) on September 14, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Alice Mrema (Guest) on May 21, 2022
Endelea kuwa na imani!
Janet Mbithe (Guest) on March 20, 2022
Rehema zake hudumu milele
Vincent Mwangangi (Guest) on January 3, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Lydia Wanyama (Guest) on October 31, 2021
Neema na amani iwe nawe.
Vincent Mwangangi (Guest) on September 19, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
Janet Mbithe (Guest) on September 18, 2021
Sifa kwa Bwana!
Elizabeth Malima (Guest) on June 30, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Lucy Mushi (Guest) on February 15, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Grace Wairimu (Guest) on August 27, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mary Njeri (Guest) on August 14, 2020
Nakuombea 🙏
Wilson Ombati (Guest) on July 8, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Anna Mchome (Guest) on February 24, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
Frank Macha (Guest) on January 8, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Josephine Nekesa (Guest) on October 27, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Sarah Karani (Guest) on July 16, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Henry Mollel (Guest) on March 9, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Lucy Mushi (Guest) on July 10, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Sarah Mbise (Guest) on May 28, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Ruth Mtangi (Guest) on April 16, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
James Malima (Guest) on October 1, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Isaac Kiptoo (Guest) on June 1, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Betty Kimaro (Guest) on May 30, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Wilson Ombati (Guest) on January 21, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Monica Adhiambo (Guest) on October 10, 2016
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Stephen Amollo (Guest) on October 8, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Grace Mligo (Guest) on September 13, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
Samuel Omondi (Guest) on August 18, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Victor Kamau (Guest) on August 12, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Edward Chepkoech (Guest) on August 9, 2016
Mungu akubariki!
Anthony Kariuki (Guest) on April 29, 2016
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Margaret Anyango (Guest) on April 27, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Jacob Kiplangat (Guest) on January 27, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
George Ndungu (Guest) on November 1, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Stephen Mushi (Guest) on September 25, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Irene Makena (Guest) on August 9, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Henry Sokoine (Guest) on April 27, 2015
Dumu katika Bwana.
Agnes Lowassa (Guest) on April 24, 2015
Mwamini katika mpango wake.