Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Featured Image
The Catholic Church and the Sacrament of Confirmation - A Joyous Celebration!
50 Comments

Kuumbwa kwa Dunia

Featured Image
50 Comments

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Featured Image
50 Comments

Uelewa wa namba katika Biblia

Featured Image

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ni Neno la Mungu. Hivyo mwandishi wa Biblia ni Mungu kupitia wanadamu (God is the primary author of the Bible while human authors are secondary authors). Mungu aliwavuvia (inspiration by the Holy Spirit) waandishi wanadamu ili waweze kuandika kile tu ambacho Yeye (Mungu) alitaka kiandikwe kwa ajili ya wokovu wa wanadamu.

50 Comments

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Featured Image
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Featured Image
Kanisa Katoliki linajiunga na mtandao wa mawazo kwa kujibu swali "Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?" Leo hii, tunajifunza kwamba Kanisa linapiga vita kwa ajili ya maslahi mazuri ya binadamu, kwa sababu Mungu anataka wote kuishi kwa furaha na amani.
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Featured Image
Je, unajua kwamba Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii? Hiyo ni habari njema kwa sababu tunaweza kuwa wakala wa mabadiliko katika jamii yetu!
50 Comments

JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?

Featured Image
50 Comments

Kwa nini tarehe ya Pasaka hubadilika

Featured Image

KALENDA za mwanzo ziliutumia mwezi wa
angani kama kipimo cha muda. Ziliitwa
“Lunar calender” au Kalenda-Mwezi. Tarehe 1
ya Mwezi ilikuwa ni siku ulipoandama yaani
Mwezi-Mdogo (Crescent Moon).
Mwezi unapofika siku ya 15 unakuwa
umefikia ukubwa wa juu na huitwa Mwezi-
Mkubwa (Full Moon). Hivyo kwa kalenda ile
tarehe 15 ilikuwa ni siku ya Mwezi-Mkubwa.
Mwaka 45KK, Julius Caesar alitangaza
kalenda mpya ikaitwa “Julian Calender” iwe
na siku 365. Wakati huo ikijulikana kwamba
jua huzunguka kwa siku 365.25. Hivyo pengo
la kalenda na mzunguko likabaki robo siku.

50 Comments

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Featured Image

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianza
kuzama. Watu wengi pamoja na rafiki wa yule
kijana walikufa maji wakati wanajaribu kujiokoa
kwa kuogelea, lakini yule kijana alifanikiwa

50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact