Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
☰
AckyShine

Mafundisho kuhusu Toharani

Featured Image

Toharani ni mahali gani?





Toharani ni mahali pa mateso zinakosafishwa roho ambazo hazikutimiza kitubio vizuri baada ya kuungama dhambi. (1Kor 3:15, 1Pet 1:7).





 




 






Je, hatuwezi kupunguza mateso ya roho za marehemu waliokwenda toharani?





Ndiyo: twaweza kupunguza hata kuyamaliza kwa kuwasalia na kuwapatia rehema na hasa kwa kuadhimisha Misa kwa ajili yao. (2Mik 12:38-46)





 




 






Toharani maana yake nini?





Toharani maana yake kuna hali ya muda ambayo huruma ya Mungu inawatakasa marehemu waliofariki dunia katika urafiki naye lakini bila ya usafi kamili unaotakiwa kwa kuingia mbinguni. Sisi tunaweza kuharakisha utakaso wao kwa kumtolea Mungu sala na sadaka, hasa ekaristi. Yuda Mmakabayo β€œalichanga fedha kwa kila mtu jumla drakma elfu mbili, akazipeleka Yerusalemu kutoa sadaka ya dhambi.




Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki, kwa kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Maana kama asingalitumaini ya kuwa wale waliokufa watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana kuwaombea wafu. Lakini kwa kuwa aliufikiri utukufu wa thawabu waliowekewa wale wafao katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la kicho. Ndiyo sababu alifanya upatanisho kwa wafu ili wafunguliwe dhambi zao” (2Mak 12:43-46). Imani hiyohiyo iliongoza Wakristo wa kwanza kuwafanyia marehemu ibada ambayo haieleweki vizuri, lakini hailaumiwi na Mtume Paulo: β€œKama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?” (1Kor 15:29).

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Mwita (Guest) on May 23, 2024

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Sarah Mbise (Guest) on April 11, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Susan Wangari (Guest) on December 11, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Agnes Lowassa (Guest) on October 28, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Chris Okello (Guest) on October 12, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mariam Kawawa (Guest) on October 2, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Grace Mushi (Guest) on September 25, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Esther Cheruiyot (Guest) on August 31, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Nancy Kabura (Guest) on April 9, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Bernard Oduor (Guest) on March 16, 2023

Sifa kwa Bwana!

George Mallya (Guest) on January 7, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Chacha (Guest) on October 30, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Lydia Mutheu (Guest) on October 29, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Mary Kendi (Guest) on October 14, 2022

Rehema zake hudumu milele

Francis Mrope (Guest) on August 24, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

John Kamande (Guest) on March 31, 2022

Rehema hushinda hukumu

Joy Wacera (Guest) on March 18, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elizabeth Mtei (Guest) on February 21, 2022

Dumu katika Bwana.

Ruth Wanjiku (Guest) on September 1, 2021

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

David Nyerere (Guest) on April 10, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Faith Kariuki (Guest) on July 16, 2020

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on June 14, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Robert Okello (Guest) on April 10, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Grace Mligo (Guest) on November 1, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Edith Cherotich (Guest) on October 25, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Carol Nyakio (Guest) on August 31, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Monica Lissu (Guest) on August 23, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

James Kawawa (Guest) on April 10, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Elijah Mutua (Guest) on April 8, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nora Kidata (Guest) on October 12, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

George Wanjala (Guest) on October 11, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Kidata (Guest) on June 20, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Moses Kipkemboi (Guest) on June 15, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Bernard Oduor (Guest) on May 14, 2018

Endelea kuwa na imani!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 5, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Grace Minja (Guest) on February 17, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Betty Kimaro (Guest) on November 16, 2017

Nakuombea πŸ™

Jane Muthoni (Guest) on May 25, 2017

Mungu akubariki!

Martin Otieno (Guest) on May 24, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Henry Mollel (Guest) on March 9, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nancy Kabura (Guest) on November 12, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Peter Otieno (Guest) on November 6, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Jacob Kiplangat (Guest) on June 18, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Grace Minja (Guest) on March 13, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Miriam Mchome (Guest) on October 24, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Nancy Kawawa (Guest) on October 10, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Emily Chepngeno (Guest) on September 7, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Nancy Akumu (Guest) on July 16, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Anthony Kariuki (Guest) on July 10, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Related Posts

Maswali na Majibu kuhusu Malaika

Maswali na Majibu kuhusu Malaika

Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Maswali yanayoulizwa sana kuhusu Ibada ya Kanisa Katoliki

Maswali yanayoulizwa sana kuhusu Ibada ya Kanisa Katoliki

Read More

Mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu kuhusu Sakramenti ya Daraja

Mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu kuhusu Sakramenti ya Daraja

Read More
Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofa... Read More

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini?Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu? Jibu ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa umoja na mshikamano kati ya Wakristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa umoja na mshikamano kati ya Wakristo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa umoja na mshikamano kati ya Wakristo? Jib... Read More

Maswali yanayoulizwa sana Kumhusu Bikira Maria

Maswali yanayoulizwa sana Kumhusu Bikira Maria

Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii?

Kanisa Katoliki limekuwa likitetea uadilifu wa kijamii na tofauti za kijamii kama sehemu ya imani... Read More

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Katika amri ya pili ya Mungu tumekatazwa nini?<... Read More

Maswali na Majibu kuhusu dhamira

Maswali na Majibu kuhusu dhamira

Read More