Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Featured Image

KUMBUKA





Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.





Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,  nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.


AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Ochieng (Guest) on June 25, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

James Malima (Guest) on June 22, 2024

Mungu akubariki!

Josephine Nduta (Guest) on May 20, 2024

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Irene Makena (Guest) on March 9, 2024

🙏🙏🙏

John Malisa (Guest) on March 3, 2024

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

George Ndungu (Guest) on February 20, 2024

🙏❤️ Mungu akubariki

Rose Mwinuka (Guest) on January 11, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Daniel Obura (Guest) on January 8, 2024

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

John Mwangi (Guest) on October 31, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Margaret Anyango (Guest) on August 20, 2023

🙏🌟 Mungu alete amani

Betty Akinyi (Guest) on August 14, 2023

Rehema hushinda hukumu

Nora Lowassa (Guest) on July 7, 2023

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2023

🙏✨ Mungu atakuinua

Anna Kibwana (Guest) on June 25, 2023

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Joseph Njoroge (Guest) on June 17, 2023

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Francis Njeru (Guest) on June 12, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Kawawa (Guest) on March 31, 2023

🙏❤️ Mungu ni mwaminifu

Lucy Kimotho (Guest) on December 24, 2022

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Ruth Mtangi (Guest) on November 19, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Betty Akinyi (Guest) on October 2, 2022

Rehema zake hudumu milele

Charles Mrope (Guest) on August 2, 2022

Amina

Elizabeth Malima (Guest) on July 30, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Jackson Makori (Guest) on June 11, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

James Malima (Guest) on June 4, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Alex Nyamweya (Guest) on April 13, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on February 24, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Philip Nyaga (Guest) on November 20, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Betty Cheruiyot (Guest) on October 22, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Minja (Guest) on October 20, 2021

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 25, 2021

🙏💖 Nakusihi Mungu

Moses Kipkemboi (Guest) on July 24, 2021

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on May 13, 2021

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Ann Wambui (Guest) on April 24, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Njuguna (Guest) on April 18, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Miriam Mchome (Guest) on April 12, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Mallya (Guest) on January 16, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Ruth Wanjiku (Guest) on January 3, 2021

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 13, 2020

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Anna Mchome (Guest) on April 30, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Monica Lissu (Guest) on April 24, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Anna Sumari (Guest) on April 9, 2020

🙏🌟 Mungu akujalie amani

Irene Makena (Guest) on December 23, 2019

Dumu katika Bwana.

Victor Mwalimu (Guest) on December 8, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Vincent Mwangangi (Guest) on December 3, 2019

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Simon Kiprono (Guest) on November 30, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Nancy Komba (Guest) on August 14, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Violet Mumo (Guest) on August 11, 2019

Nakuombea 🙏

Stephen Amollo (Guest) on June 29, 2019

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Alice Jebet (Guest) on June 7, 2019

🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu

Andrew Mahiga (Guest) on March 14, 2019

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Nora Lowassa (Guest) on March 6, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Peter Mwambui (Guest) on December 16, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Violet Mumo (Guest) on November 8, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Edward Chepkoech (Guest) on August 6, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Paul Ndomba (Guest) on April 8, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

John Kamande (Guest) on February 24, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on December 25, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Carol Nyakio (Guest) on October 23, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Monica Adhiambo (Guest) on October 17, 2017

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact