Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Anachokiangalia Mungu

Featured Image

Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake. Nia ya mtu ndiyo inayoonyesha mtu alivyo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Karani (Guest) on November 20, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Ruth Kibona (Guest) on October 13, 2023

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Tabitha Okumu (Guest) on May 25, 2023

Neema na amani iwe nawe.

George Ndungu (Guest) on April 11, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

James Mduma (Guest) on March 5, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mariam Hassan (Guest) on October 14, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Francis Mtangi (Guest) on January 14, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Victor Kimario (Guest) on December 10, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

George Mallya (Guest) on July 12, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

David Chacha (Guest) on May 10, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Robert Ndunguru (Guest) on November 11, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Janet Sumari (Guest) on August 18, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Joseph Kitine (Guest) on June 8, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Michael Onyango (Guest) on February 2, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Josephine Nekesa (Guest) on September 14, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Victor Kimario (Guest) on August 6, 2019

Mungu akubariki!

John Malisa (Guest) on June 7, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Alice Jebet (Guest) on May 10, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

James Kimani (Guest) on May 5, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Peter Tibaijuka (Guest) on April 22, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Joyce Mussa (Guest) on January 31, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Janet Mbithe (Guest) on January 12, 2019

Nakuombea 🙏

George Tenga (Guest) on January 3, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Monica Nyalandu (Guest) on October 19, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Edwin Ndambuki (Guest) on September 28, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2018

Endelea kuwa na imani!

Anna Kibwana (Guest) on May 27, 2018

Dumu katika Bwana.

Agnes Njeri (Guest) on May 21, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Betty Akinyi (Guest) on April 23, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Francis Njeru (Guest) on April 22, 2018

Rehema zake hudumu milele

Elizabeth Mtei (Guest) on April 11, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Catherine Mkumbo (Guest) on March 15, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Ruth Wanjiku (Guest) on December 17, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Francis Mtangi (Guest) on September 26, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Monica Nyalandu (Guest) on September 18, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 14, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Andrew Mahiga (Guest) on August 30, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Dorothy Nkya (Guest) on May 6, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Edward Lowassa (Guest) on April 3, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nakitare (Guest) on February 19, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Mahiga (Guest) on December 18, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Miriam Mchome (Guest) on February 27, 2016

Sifa kwa Bwana!

James Malima (Guest) on February 23, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

John Mwangi (Guest) on November 25, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Charles Mchome (Guest) on November 19, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Edward Lowassa (Guest) on November 18, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Ann Wambui (Guest) on November 6, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Patrick Mutua (Guest) on September 1, 2015

Rehema hushinda hukumu

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 20, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Related Posts

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu hauna kikomo. Mama anaweza kumchoka na kumtelekeza mwanae lakini Mungu kamwe hamc... Read More

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.

... Read More
Sala ni Upendo

Sala ni Upendo

Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo li... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Sala za kila siku

Sala za kila siku

Sala za kila siku katika maisha ndiyo hazina kubwa na msaada hasa wakati wa kufa. Adumuye katika ... Read More

Njia ya sala

Njia ya sala

Kwa njia ya sala Binadamu anampa Mungu Utukufu, Mungu anampa Binadamu Wokovu na Neema.

... Read More
Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako kila siku. Anasubiri sala zako akujibu ili uone utukufu wake. Anasubiri... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Sifa za Sala yeyote

Sifa za Sala yeyote

Sala yoyote ili iwe SALA lazima itolewe kwa Imani, Upendo, Unyenyekevu na kwa Matumaini. Sala kam... Read More

Mungu ni Mwenye Haki, Mpenda Haki, na Mtenda Haki

Mungu ni Mwenye Haki, Mpenda Haki, na Mtenda Haki