Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Maana ya kubarikiwa

Featured Image

Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, furaha, na matumaini katika maisha ya sasa na yajayo. Kubarikiwa sio kuwa na mali nyingi. Yesu hajawahi kumwambia mtu kuwa utakua tajiri sana kwa kuwa umebarikiwa wala hajawahi kumuahidi kumpa mtu utajiri. Unaweza ukawa na mali nyingi lakini zikakufanya ukakosa Amani, furaha na matumaini ya siku zijazo. Ndiyo maana Mungu anatupa kulingana na vile tunavyohitaji ili visiwe mtego kwetu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Nkya (Guest) on March 26, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Mary Mrope (Guest) on January 26, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Stephen Kangethe (Guest) on October 6, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Patrick Kidata (Guest) on August 15, 2023

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Linda Karimi (Guest) on May 9, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Wambura (Guest) on December 10, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2022

Mungu akubariki!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 1, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

George Tenga (Guest) on March 25, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Alex Nakitare (Guest) on December 29, 2021

Rehema hushinda hukumu

David Kawawa (Guest) on August 24, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

John Mwangi (Guest) on August 5, 2021

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Samson Mahiga (Guest) on July 27, 2021

Endelea kuwa na imani!

Agnes Njeri (Guest) on April 30, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Patrick Akech (Guest) on December 20, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

James Mduma (Guest) on December 18, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Henry Mollel (Guest) on December 16, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Simon Kiprono (Guest) on November 11, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Edward Chepkoech (Guest) on November 11, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Wambura (Guest) on September 28, 2020

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Frank Sokoine (Guest) on June 18, 2020

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mariam Kawawa (Guest) on May 22, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Francis Mrope (Guest) on November 21, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Sarah Achieng (Guest) on November 1, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alex Nyamweya (Guest) on October 20, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nora Kidata (Guest) on June 9, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Samuel Omondi (Guest) on June 9, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Sokoine (Guest) on June 3, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

George Wanjala (Guest) on May 13, 2019

Nakuombea 🙏

Robert Ndunguru (Guest) on April 27, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Henry Mollel (Guest) on January 4, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Wambui (Guest) on November 17, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Wanjiru (Guest) on June 28, 2018

Sifa kwa Bwana!

David Chacha (Guest) on June 24, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Mary Sokoine (Guest) on February 18, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Mallya (Guest) on January 14, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Joseph Mallya (Guest) on January 20, 2017

Dumu katika Bwana.

Vincent Mwangangi (Guest) on December 18, 2016

Rehema zake hudumu milele

Nancy Komba (Guest) on October 26, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Samson Mahiga (Guest) on September 7, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Patrick Mutua (Guest) on April 17, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Edwin Ndambuki (Guest) on February 25, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anthony Kariuki (Guest) on February 20, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Rose Kiwanga (Guest) on January 6, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Josephine Nekesa (Guest) on September 10, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Diana Mumbua (Guest) on August 28, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edwin Ndambuki (Guest) on August 11, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Agnes Lowassa (Guest) on August 4, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Paul Kamau (Guest) on May 29, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anthony Kariuki (Guest) on May 8, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako kila siku. Anasubiri sala zako akujibu ili uone utukufu wake. Anasubiri... Read More

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ni njia ya kumrudia Mungu

Kutubu ndio njia pekee ya kumrudia Mungu. Toba ya kweli ndiyo iletayo maondoleo ya dhambi. Ukiond... Read More

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu hauna kikomo. Mama anaweza kumchoka na kumtelekeza mwanae lakini Mungu kamwe hamc... Read More

Uwe na subira Baada ya kuomba

Uwe na subira Baada ya kuomba

Uwe na subira Baada ya kuomba kwa Mungu. Sio kila unachoomba kwa Mungu utakipata kwa wakati huo h... Read More

Upendo na chuki havitangamani

Upendo na chuki havitangamani

Upendo wa kweli hauambatani na chuki. Huwezi kusema una Upendo wakati kuna watu wengine unawapend... Read More

Sali daima

Sali daima

Kama mtu anasali kila siku katika maisha yake hakuna kitu kitakachokuwa kigumu. Sala ni njia ya k... Read More

Njia ya sala

Njia ya sala

Kwa njia ya sala Binadamu anampa Mungu Utukufu, Mungu anampa Binadamu Wokovu na Neema.

... Read More
Kuomba na Kushukuru

Kuomba na Kushukuru

Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More

Toba, msamaha na Baraka

Toba, msamaha na Baraka

Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiw... Read More

Uhuru na Amani ya Moyoni

Uhuru na Amani ya Moyoni

Uhuru Na Amani Ya Moyoni hupatikana kwa kusali wala sio kwa kusoma vitabu na kujua sana Mambo men... Read More

Sala za kila siku

Sala za kila siku

Sala za kila siku katika maisha ndiyo hazina kubwa na msaada hasa wakati wa kufa. Adumuye katika ... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact