Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni njia yenye nguvu ya ukarabati na uongofu!
50 Comments

TAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA

Featured Image
Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu. Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.
100 Comments

Umakini katika kuwaza

Featured Image
Kuwa makini sana na mawazo yako, Yanaweza kukupeleka Mbinguni au motoni. Kumbuka vile unavyowaza ndivyo utakavyovitenda. Amua kuwaza mema kutoka ndani ya moyo wako kisha utatenda mema katika maisha yako Kumbuka Mungu humhukumu mtu kwa mawazo yake maana mawazo ya mtu ndiyo mtu mwenyewe Tuwaze mema wapenzi ili tuwe wema
100 Comments

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Featured Image
Kuna kitu kimoja duniani ambacho hakina mipaka, na hicho ni huruma ya Mungu. Ni chemchemi ya upendo usiokwisha, inayoendelea kutiririka kwa neema na baraka. Ni raha ya moyo na faraja ya roho. Na ndio sababu tunapenda kumwabudu Mungu wetu mwenye huruma.
50 Comments

Hii Ndiyo Namna Pekee ya Kuwa na Amani Katika Maisha Yako

Featured Image
Ifahamu namna Pekee ya kuwa na amani katika maisha Yako. Jifunze Kitu Hapa na kufuata njia hii. Hakika utakua na Amani.
100 Comments

Yesu Yupo Karibu na Wewe Unapoanguka Dhambini: Huruma ya Yesu Kristo kwa Mwenye dhambi

Featured Image
Wakati mtu anapoanguka dhambini ndio wakati ambao Yesu anakua karibu na mtu sana hata kuzidi wakati mwingine wowote. Wakati mtu anapoanguka dhambini ndio Yesu anakua karibu zaidi, lakini tatizo ni kwamba huo ni wakati ambao mtu hawezi kutambua uwepo wa Yesu. Neno moja tuu la Matumaini na Upendo wakati huo linaweza kumfungua mtu na kumbadilisha.
100 Comments

Mambo yanayowazuia Waumini na Watumishi wa Mungu Kufikia Ukamilifu na Utakatifu

Featured Image
Leo nimekuandalia Tafakari kuhusu Mambo yanayowazuia Waumini na watumishi wa Mungu Kuishi Kitakatifu na kufikia Ukamilifu. Mambo haya yanaweza yakaonekana sio dhambi au makosa kwa mtu lakini ni vikwazo kwa mtu kufikia Ukamilifu hasa anaposhindwa kuyajua na kuyaepuka. Wengi wanajiona kwamba wako salama lakini kumbe wako katika dhambi.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu

Featured Image
Huruma ya Mungu: Faraja na Ufariji katika Majaribu - Njia ya Upendo na Tumaini!
50 Comments

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Featured Image
Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa sababu ya wengine kupata Baraka na neema za Mungu. Unaweza kuwa kikwazo kwa maana kwamba unaweza kuwa wewe ni sababu ya wengine kutokupata Baraka na Neema za Mungu.
101 Comments

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

Featured Image
Huruma ya Mungu ni mwanga wa matumaini katika giza la dhambi. Kila mtu anastahili kupata fadhila hii ya Mungu na kusonga mbele na furaha.
50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact