Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
AckyShine

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Featured Image
What does the Catholic Church believe about the sacrament of Baptism? Dive into the holy waters and discover the joyous teachings of the Church on this sacred rite of passage.
50 Comments

Uelewa wa namba katika Biblia

Featured Image

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ni Neno la Mungu. Hivyo mwandishi wa Biblia ni Mungu kupitia wanadamu (God is the primary author of the Bible while human authors are secondary authors). Mungu aliwavuvia (inspiration by the Holy Spirit) waandishi wanadamu ili waweze kuandika kile tu ambacho Yeye (Mungu) alitaka kiandikwe kwa ajili ya wokovu wa wanadamu.

50 Comments
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact